kazi ipo.love ina definition nyingi tu.kwangu mimi mapenzi ni kizunguzungu.yakikukolea yana raha ya ajabu,ila ikila kwako maumivu yake ni mabaya mnoNoo! LOVE IS A GAME IN WHICH BOTH PLAYERS DO CHEAT.
maumivu yake yakoje.........kazi ipo.love ina definition nyingi tu.kwangu mimi mapenzi ni kizunguzungu.yakikukolea yana raha ya ajabu,ila ikila kwako maumivu yake ni mabaya mno
maumivu yake yakoje.........
happy birthday!love is how you make it people
maumivu yake unajihisi kuumwa si kuumwa,utajiuliza why me?appetite ya kula inaondoka,au kama mtu wa diet,diet unaiacha unafakamia vyakula bila mpangilio.kama ni mtu wa kujipamba,mapambo unayaweka pembeni,kama sio mtu wa pombe,ndio utaanza kujifunza kunywa.mawazo yatakujaa kichwani bila kujua unawaza nini.maumivu yake yakoje.........