Habar wana jf jaman naomba kuuliza ii love at the first sight kama ni applicable?kama ni applicable je wewe ishawah kukutokea?in what way?maana mi naona first unamtaman mtu then kumpenda kunafata...nawasilisha
Habar wana jf jaman naomba kuuliza ii love at the first sight kama ni applicable?kama ni applicable je wewe ishawah kukutokea?in what way?maana mi naona first unamtaman mtu then kumpenda kunafata...nawasilisha
hutokea, kwani ukiwa umejitambua unajua kabisa unapenda mtu wa aina gani na vitu gani vinakuvutia, so ukimwona mhusika tu unafall moja kwa moja, sema issue kumpata siyo lazima kwani anaweza akawa amewahiwa
Mi haijawahi kutokea sana sana inanitokea ni kama crush flani tu lakini baada ya mda ile hali inaisha,mi naona kumpenda mtu it takes time sio siku moja.