Interest JF-Expert Member Apr 11, 2015 3,434 7,055 Mar 17, 2016 #1 Ajali ya gari lori na gari ndogo aina ya IT zimegongana maeneo ya Mkawaganga Kilolo Iringa na kusababisha kifo cha dereva wa gari ndogo.. Pole kwa wafiwa.
Ajali ya gari lori na gari ndogo aina ya IT zimegongana maeneo ya Mkawaganga Kilolo Iringa na kusababisha kifo cha dereva wa gari ndogo.. Pole kwa wafiwa.
beth JF-Expert Member Aug 19, 2012 3,877 6,326 Mar 17, 2016 #2 Aiseee! Pole kwa woote wanaohusika! Mungu awatie nguvu wafiwa...
M MLERAI JF-Expert Member Apr 4, 2012 667 271 Mar 17, 2016 #5 Pole kwa ndugu jamaa na marafiki wa marehemu.
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Mar 17, 2016 #8 Inna Lilahi Wainna Ilayhi Raajiuun. Wafiwa poleni sana, kwa kuondokewa na kipenzi chenu
L lokomu JF-Expert Member Apr 25, 2013 4,916 3,503 Mar 17, 2016 #9 Interest said: Ajali ya gari lori na gari ndogo aina ya IT zimegongana maeneo ya Mkawaganga Kilolo Iringa na kusababisha kifo cha dereva wa gari ndogo.. Pole kwa wafiwa. View attachment 330277 View attachment 330278 Click to expand... apumzike kwa aman
Interest said: Ajali ya gari lori na gari ndogo aina ya IT zimegongana maeneo ya Mkawaganga Kilolo Iringa na kusababisha kifo cha dereva wa gari ndogo.. Pole kwa wafiwa. View attachment 330277 View attachment 330278 Click to expand... apumzike kwa aman
kelao JF-Expert Member Sep 24, 2012 8,132 5,785 Mar 17, 2016 #10 Ni kweli nimepita hapo muda sio mrefu,R.I.P. Dereva