Lori la mafuta lagonga treni na kulipuka

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,833
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.

Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.

Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.

Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.

Chanzo: Radio One Breaking News
 
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Source: Radio One Breaking News

Dah! Sasa sijui hawa wanajua kuwa kuna mchakato wa Katiba Mpya unaendelea? Maana vifo vya "kuchota" mafuta vimetokea mara nyingi, lakini bado ni wembe ule ule!!
 
Kuna wale walipukutika kijiji kizima kule Mbeya. Lile lilikuwa ni fundisho tosha.
 
Hivi jamani hizi ajali za mwaka huu mbona zinatisha sana kila siku ajali na watu wanafariki na wengine wanapata majeraha ya maisha. Kwanini tusichukue hatua madhubuni ya kuzuia jhizi ajali za kila siku. Mimi siamini ajali hazina kinga maana kwanini kila siku zitupate sisi tu na si nchi zilizoendelea inamaana wao wanalinda vipi...? Gari haipinduki yenyewe bila kuwa na sababu za uzembe wowote ikiwepo mwendo kasi uzembe wa dereva, tairi kupasuka uzembe wa tajiri kutokununua tairi kwa muda muafaka na kufanya service na uzembe mwingine mwingi ukiwepo ulevi, kuendesha kwa leseni faki rushwa kwa askari usalama nk. Tuamke tuchukue hatua la sivyo tutakwisha sisi na familia zetu
 
Hivi jamani hizi ajali za mwaka huu mbona zinatisha sana kila siku ajali na watu wanafariki na wengine wanapata majeraha ya maisha. Kwanini tusichukue hatua madhubuni ya kuzuia jhizi ajali za kila siku. Mimi siamini ajali hazina kinga maana kwanini kila siku zitupate sisi tu na si nchi zilizoendelea inamaana wao wanalinda vipi...? Gari haipinduki yenyewe bila kuwa na sababu za uzembe wowote ikiwepo mwendo kasi uzembe wa dereva, tairi kupasuka uzembe wa tajiri kutokununua tairi kwa muda muafaka na kufanya service na uzembe mwingine mwingi ukiwepo ulevi, kuendesha kwa leseni faki rushwa kwa askari usalama nk. Tuamke tuchukue hatua la sivyo tutakwisha sisi na familia zetu

Rushwa inapukutisha taifa letu. Wasimamia sheria ndio wavunjaji wakubwa wa sheria hizo.
 
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Source: Radio One Breaking News
Kwa mujibu wa Radio One Breaking News watu 3 wamepoteza maisha hapo mhapo na 11 kulazwa hospitalini.
 
Mafuta hayaibiwi pamoja na kiberiti au betri...kukosa elimu na gharama zake!! Poleni wafiwa wote
 
Hivi jamani hizi ajali za mwaka huu mbona zinatisha sana kila siku ajali na watu wanafariki na wengine wanapata majeraha ya maisha. Kwanini tusichukue hatua madhubuni ya kuzuia jhizi ajali za kila siku. Mimi siamini ajali hazina kinga maana kwanini kila siku zitupate sisi tu na si nchi zilizoendelea inamaana wao wanalinda vipi...? Gari haipinduki yenyewe bila kuwa na sababu za uzembe wowote ikiwepo mwendo kasi uzembe wa dereva, tairi kupasuka uzembe wa tajiri kutokununua tairi kwa muda muafaka na kufanya service na uzembe mwingine mwingi ukiwepo ulevi, kuendesha kwa leseni faki rushwa kwa askari usalama nk. Tuamke tuchukue hatua la sivyo tutakwisha sisi na familia zetu
Mamlaka ya Mapato TRA na Mamlaka ya Leseni wamekuja na mkakati wa kudhibiti utoaji wa leseni mpya. Kigezo kilikuwa madereva kupitia vyuo vinavyotambulika lakini kinachotokea ni aibu, maana mahesabu ya haraka zaidi ya 50% zimetoka kwa rushwa pamoja na vyeti bandia. By the way, tumedharau suala la elimu (ya udereva pamoja na formal) lakini ina uhusiano mkubwa sana na ajali zinazotokea na hata ukisikiliza maelezo ya ajali zote hizi utaona hilo. TUMEFIKA PABAYA!!!!
 
WATU wanne wamekufa na wengine 41 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori la mafuta pamoja na treni katika tukio lililotokea leo asubuhi mkoani Singida.Kwa mujibu wa mashuhuda wetu ajali hiyo imetokea baada ya lori hilo kuigonga treni iliyokuwa ikielekea stesheni ya Manyoni Singida na kusababisha vifo vya watu hao na majeruhi wengine 41 wakiwamo askari 11 waliokuwa wakitoa msaada.

Imedaiwa kuwa baada ya lori hilo kuigonga treni ghafla ilianza kuwaka moto uliosababisha majeruhi hao ambao walikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu.

Hata hivyo, baada ya lori hilo kuigonga treni hiyo lilimwagika mafuta ambapo wananchi walianza kuzoa kwa kutumia ndoo na madumu.

Kutokana na tukio hilo, polisi walilazimika kuweka ulinzi wa kutosha lakini, hata hivyo, walizidiwa nguvu na kusababisha wengine kujeruhiwa sehemu mbalimbali ya miili yao.

Kamanda wa Polisi mkoani huo, Celina Kaluba, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa taarifa kamili zitatolewa baadaye leo.

Maiti na majeruhi walipelekwa hospitali ya wilaya


source: Dar leo/ Redio one
 
Hivi jamani hizi ajali za mwaka huu mbona zinatisha sana kila siku ajali na watu wanafariki na wengine wanapata majeraha ya maisha. Kwanini tusichukue hatua madhubuni ya kuzuia jhizi ajali za kila siku. Mimi siamini ajali hazina kinga maana kwanini kila siku zitupate sisi tu na si nchi zilizoendelea inamaana wao wanalinda vipi...? Gari haipinduki yenyewe bila kuwa na sababu za uzembe wowote ikiwepo mwendo kasi uzembe wa dereva, tairi kupasuka uzembe wa tajiri kutokununua tairi kwa muda muafaka na kufanya service na uzembe mwingine mwingi ukiwepo ulevi, kuendesha kwa leseni faki rushwa kwa askari usalama nk. Tuamke tuchukue hatua la sivyo tutakwisha sisi na familia zetu
Wapiga kura wanapukutika
 
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Source: Radio One Breaking News
Kumbe huwa ni lazima atokee mpuuzi mmoja wa kufungua betri kwenye aina hizi za ajali?

Hii ajili ni kama copy and paste ya ajali ya leo!

Chanzo ni exactly kile kile!
 
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Source: Radio One Breaking News
Same scenario
Aisee tunakwama wapi elimu za majanga na umaskini huu ni shida.
 
Kuna wale walipukutika kijiji kizima kule Mbeya. Lile lilikuwa ni fundisho tosha.

Kuna Jamaa alikuwa anaitwa John Dida wakati jamaa wanachota Mafuta yeye akaenda kufungua Betri ya Gari hapo ndiyo Moto ulipolipuka na watu kibao kupoteza maisha.

Watanzania hatujifunzi kitu kutokana na haya Majanga.
 
Back
Top Bottom