Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Lori la mafuta lililokuwa likitokea Dsm limegonga kichwa cha treni wilani Manyoni mkoani Singida na kisha kupinduka.
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Chanzo: Radio One Breaking News
Baada ya kupinduka wananchi wakafika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta.
Mmoja kati ya wananchi hao akafungua betri na ndipo moto mkubwa ukalipuka.
Zaidi ya watu 11 wamejeruhiwa vibaya sana na moto huo na wamelazwa katika hospitali ya wilaya.
Chanzo: Radio One Breaking News