MWAKITEGA ALIKO
Member
- Jan 6, 2014
- 34
- 44
Room ya 5000 isiwe na kunguni, is it possible?
Taja lodge nzuri na maeneo zilipo ikiwezekana hata na bei zakeMkuu Naona Unataka Kuhamisha Kunguni Na Magonjwa Ya Ngozi Upeleke Nyumbani Kwako.
Pia Usalama Wa Lodge Kama Hizo Ni Mdogo Sana Kwako Na Vitu Vyako.
Jitahidi Unatafuta Lodge Nzuri Kuepuka Magonjwa Ya Ngozi Na Kunguni Pia Usalama Wako Na Mali Zako Ni Muhimu Zaidi.
"Cheap can be expensive"
Ni sahihi ulichoandika....je ulimuelewa? Pia tunaangalia uchumi jamani 16×5000=80000 per day kulala tu × 5Mkuu Naona Unataka Kuhamisha Kunguni Na Magonjwa Ya Ngozi Upeleke Nyumbani Kwako.
Pia Usalama Wa Lodge Kama Hizo Ni Mdogo Sana Kwako Na Vitu Vyako.
Jitahidi Unatafuta Lodge Nzuri Kuepuka Magonjwa Ya Ngozi Na Kunguni Pia Usalama Wako Na Mali Zako Ni Muhimu Zaidi.
"Cheap can be expensive"
Ngedere mwitu waingia mjini ngedere hawajifichiHi guys hope mko poa woteeeee
rejea kichwa cha habari hapo juuu tunaomba mwenye kujua hili atupe direction pls '
kuna kazi dar tunawaleta mabinti kadhaa na makakaa wengi kidogo
nahitaji .............maelekezo yenu ahsanteni isiwe mbali sana na jiji letu tukufu
wale wachumi tumeelewana
rgds
Pdidy