Live Updates:Yanga vs S.C.Villa leo tar 11.08.2013!

Mkuu Masuke usiandikie mate wakati wino upo.
S.C.Villa wapo Dar nenda kawaulize.
Na ata ukiingia Kampala leo,bado kuna daladala nyiiiiiingi zimeandikwa Lunyamila,Saidi Mwamba,Mohamedi Huseni.Na ata basi La S.C.Villa limeandikwa kwa nyuma neno "JANGWANI"

Hii ilikuwa ni mashindano ya CECAFA 1993 yaliyofanyika Kampala, mlipigwa tatu kwa moja, ila baadaye mlikutana nao fainali mkawafunga mbili kwa moja. Kipindi hicho walikuwa wakiitwa Nakivubo, sema tu makabrasha ya zamani yanasumbua kutafuta.

CECAFA Club Championship 1993

In Kampala.

Group A
Nakivubo Villa 3-1 Young Africans
Nakivubo Villa 1-0 Malindi
Young Africans 2-1 Malindi
 
Mkuu Masuke usiandikie mate wakati wino upo.
S.C.Villa wapo Dar nenda kawaulize.
Na ata ukiingia Kampala leo,bado kuna daladala nyiiiiiingi zimeandikwa Lunyamila,Saidi Mwamba,Mohamedi Huseni.Na ata basi La S.C.Villa limeandikwa kwa nyuma neno "JANGWANI"

[h=2]Kuna nyingine hii ya 2003, tena hi indo ilikuwa mbaya kabisa maana mliishia hatua ya makundi.[/h][h=2]Kagame Inter-Club Cup 2003[/h][h=2]Tournament for clubs for East and Central Africa, formerly known as[/h]CECAFA Club Cup. In Kampala, Uganda, January 26-February 10, 2003.26 Jan SC Villa 2-0 Young Africans [Paul John Masanja 11og, Edgar Watson 48; att: 6,117 (paying); Sula Walusimbi (Villa) was shown a 2nd yellow card in the 75th minute but not sent off by referee Abdula Abdile (Somalia); he was substituted a few minutes later]28 Jan Khartoum 3 0-0 Young Africans [att: 339]28 Jan Red Sea 3-1 Mlandege [Biniam Gebraselasie Fesehaye 18, Suleiman Mahmoud 74, Tedro Negash 82pen; Juma Ali 16; att: 339]30 Jan SC Villa 0-1 Khartoum 3 [Ahmed Mohamed Ali (also listed as Omar Sageldin) 43; att: 3,741] 30 Jan Young Africans 2-1 Mlandege [Sammy Kessy 15, Omar Changa 28; Soud Abdallah (also listed as Risasi Mathias) 65; att: 3,741] 1 Feb Mlandege 1-1 Khartoum 3 [scorers not known; att: 4,133] 1 Feb Red Sea 2-3 SC Villa [Biniam Gebraselasie Fesehaye 55, 89; Phillip Ssozi 24, Ekuchu Kasongo 38, Emmanuel Balyejusa (1-3); att: 4,133] 3 Feb Young Africans 1-2 Red Sea [Salvatory Edward 43; Suleiman Mahmoud 6, Medhanie Aghade 56] 3 Feb Mlandege 0-1 SC Villa [Ekuchu Kasongo 87]
 
Lete na za Simba bila kuisahau ile mechi ya pale Rocky City ambapo Ben Mwalala alijipigia bao za kutosha na kuwavutia Yanga kumsajili. Tiririka mtani bila kinyongo, aibu wala kificho kama ulivyofanya hapo juu.
 
Lete na za Simba bila
kuisahau ile mechi ya pale Rocky City ambapo Ben Mwalala alijipigia bao
za kutosha na kuwavutia Yanga kumsajili. Tiririka mtani bila kinyongo,
aibu wala kificho kama ulivyofanya hapo juu.

kweli mkuu, mana kwa yanga kama ana "ugomvi" na yanga, yani kisa 4-1 za maana.
 
Lete na za Simba bila kuisahau ile mechi ya pale Rocky City ambapo Ben Mwalala alijipigia bao za kutosha na kuwavutia Yanga kumsajili. Tiririka mtani bila kinyongo, aibu wala kificho kama ulivyofanya hapo juu.

Sasa unataka nilete za Simba za nini? maana mimi nimetoa za Yanga na Villa baada ya mkuu mandieta katika post yake #116 kusema kwamba S.C Villa hawaijawahi kuifunga Yanga popote, na mimi katika post yangu #131 nikamwambia ngoja niingie kwenye mafaili yangu nimletee data zinazoonyesha kwamba S.C Villa ilishawahi kuifunga Yanga; post yake #140 akanitaka niende kuwauliza S.C Villa, mimi sikuona sababu ya kwenda kuwauliza maana nilimwahidi kwamba naingia kwenye mafaili yangu na ukweli ningemletea ndo hapo nilipoanza kutiririka kumwonyesha kwamba alichokuwa anasema sio kweli.
 
Back
Top Bottom