wabungenjaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,782
- 336
Kikao cha bunge la bajeti kinaendelea tena leo ambapo kwa ratiba inavyoonyesha kutakuwa na kipindi cha maswali na majibu kisha mjadala wa bajeti kuu ya serikali utaendelea.....stay tune for live updates...mwanzo mwisho.
===updates..
swali kwa ofisi ya waziri mkuu.
mh. Augostino lyatonga mrema anamuuliza waziri mkuu, katika mji wa himo kuna maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya makazi ambapo sasa serikali inataka kuyatumia maeneo hayo kuweka viwanda.
je, ni nini athari za viwanda kujengwa kwenye makazi ya watu?
je, serikali itakuwa tayari kuwafidia wananchinambao makazi yao yataathirika?
naibu waziri wa tamisemi anaendelea kujibu maswali haya.
===updates
mh.victor mwambalaswa amemuuliza waziri mkuu
Mkuu wa wilaya ya chunya aliunda tume ya kuchunguza ubadhirifu katika uendeshaji wa ushirika wa tumbaku wilayani na matokeo ya uchunguzi yameshawasilishwa kwa mkuu wa wilaya, je nini matokeo ya uchunguzi huo? Waziri anafafanua.
===clara mwatuka anamuuliza wwairi wa utumishi.kwamba sharti mojawapo katika kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi ni pamoja na kukubali cheo au daraja...,je, imewahi kutokea kwa mtumishi yeyote kukataa cheo? Waziri pamoja ufafanuzi anasema haijawahi kutokea mtumishi kukataa cheo.
====swali kwa wizara ya uchukuzi
betty machangu anamuuliza waziri wa uchukuzi , serikali kupitia SUMATRA imetangaza kuwa mabasi yanayotoka mikoaninkwenda dsm hayahitaji kuingia kwenye stend ndogo kwenye halmashauri ambapo stend hizo zimejengwa kwa gharama kubwa? Na hatua hiyo si itapunguza mapato kwa halmashauri? Serikali ifute waraka huo....
---naibu waziri anasemakuwa amri hiyo ni kwa mabasi makubwa tu na ni kwa mabasi ambayo hayana abiria wanaoshuka katika maeneo hayo. Aidha kuhusu suala la mapato mabasi hayo yanapita mizani ambazo serikali imejenga kila mkoa hivyo mapato yapo pale pale.
====swali kutoka kwa rachel mashishanga...mwaka 2012/013 serikali ililipwa bima ya ajali ya ndege iliyotokea mwanza ambapo iliahidi kununua ndege zingine lakini haikufanya hivyo......waziri anasema nia ua kutekeleza azma hiyo ipo pale pale ingawa fedha hizo hazijalipwa zote kama ilivyotakiwa kuwa.
===waZiri anasema ipo kampuni ambayo itaanzisha safari za ndege kutoka dsm- dodoma - arusha dar kwa gharama nafuu
===anne kilango ameuliza swali kuhusu ndege za kenya kuutangaza mlima kilimanjaro ambao uko tz, je nini mantiki ya hili? Mwanashera mkuu wa aerikali anafafanua kwamba kenya haina makosa kwa sababu sisi tz hatujaanzisha matangazo ya namna hiyo na pia kenya kijiografia ipo karibu na mlima kili.
====updates
mjadala wa bajeti ya serikalinumeanza na mchangiaji wa kwanza ni peter serukamba ambapo anaishangaa serikali kuwa descourage wawekezaji wa ndani na kuwakumbatia wale wa nje.....anasema serikali ije na majibu ya matatizo ya wananchi
====sasa anachangia sugu
anaanza kwa maneno kwamba ipo slogan ya kusema vijana waache kulalamika anasema vijana wataendelea kulalamika mpka kieleweke
===anasema tuhamasishe biashara ndogo ndogo.....tu promote small businesses.
===sugu anasema kwa kuhamasisha biashara ndogo ndogo itafika wakati hata wanafunzi wa vyuo vikuu kufanya kazi yaani temporary employment ie tempo.
===sugu anazungumzia maslahi kwa madaktari, esp on call allowance, posho mbalimbali, kuchelewa kuthibitishwa kazini, malipo ya arriers,fedha za likizo.
==anazungumzia ishu ya house allowance kwa wafanyakazi wa serikali esp madaktari...anasema serikali haiwezi kujiondoa kwenye house allowance kwa wafanyakazi
===madaktari wanalalamika juu ya fursa za kusoma kutoka kwa upendeleo,
=== hospitali za rufaa, huduma za x-ray hamna hospitali ya rufaa ya mbeya......mbeya hosp ina majengo mazuri ya ghorofa kwann hakuna vifaa?? Au mnataka waziri awe mnyakyusa ndio hili jengo limaliziwe?
===++=more updates
diana chilolo anachangia sasa, anaeleza kwa uchungu kuhusu hospitali ya rufaa ya mkoa wa singida ambayo hadi sasa haijakamilika...anasema kwanini serikali isiingilie kati imalizie hospitali hiyo badala ya kuwaachia wananchi wa singida peke yao
===anazungumzia kodi kwa wafanyakazi, kwamba kodi ya 12% ni kubwa mnoooo
===amezungumzia bima ya afya kuwa ipanue wigo wa watu wanaopaswa kuhudumiwa katika familia na mfuko huo kwamba tegemezi nao waingizwe
===anasema kila kitu nchi hii ni kuchangia kuchangia tuuje ni kitu gani ambacho tunawapa watz bure??
====
=====hivi sasa amesimama asumpta mshama, anasema anashukuru serikali kujenga barabara ya bunazi katoma kasenye nk japo kuna mapungufu anaomba yarekebishwe, umeme maeneo ya mtukula, hospitali na vituo vya afya na zaidi anashukuru kupelekwa ambulance katika hospitali ya wilaya yake.
===updates
anayeongea hv sasa ni leticia nyerere
anasema kuwe na vivutio na hamasa kwa walipa kodi hapa nchini kama ilivyo kwa nchi zilizowndelea, anasema nchi hizo zina utaratibu wa mlipa kodibkujaza fomu maalumu ya kulipa kodi kisha hulipwa kama zawadi au motisha.
===anasema tuwe wazalendo kwa taifa na tuwe na utamaduni wa kushukuru kwa kile kinachofanywa na serikali, kwamba ukiwa mjuaji sana halafu ujuaji wako usiwe na maana kwa wananchi kama hakuna la maana ulilofanya.
====sasa anachangia mh.rajab mbaruk,yeye alianza kwa kusifu kuwa pemba yote inaongozwa na wabunge kutoka chama cha wananchi cuf akimjibu naibu spika aliyetambulisha viongozi wa ccm wilaya ya kongwa.
===anasisitiza kudai risiti pindi ukinunua bidhaa lakini kuna udhaifu katika hilo hivyo mamlaka ya kodi nchini iangalie upya jambo hili.
====anasema ana imani na mawaziri wa fedha hasa mwigulu jinsi alivyoonyesha makeke kuishughulikia cuf na chade,a lakini je ataweza kuwashughulikia mafisadi waliojaa serikalini??
====updates
esther matiko ameanza kwa kuilaumu serikali kwa ongezeko dogo la mshahara wa mfanyakazi na punguzo dogo sana la kodi kwenye mshahara wa mfanyakazi.
===anasikitikia kutelekezwa kwa sekta ya sanaa na wasanii hapa nchini, ambapo nchi kama nigeria zimeipa kipaumbele sekta hii na kuifanya kuwa chanzo kikuu cha mapato ya nchi, pia kilimo
====anasema seikali inaishia kucheza na takwimu huku mambo yakiharibika na uchumi unadidimia.
===anachangia rage hivi sasa....anazungumzia deni la taifa kwamba wizara ya fedha na wataalam wanajitahidi kufanya kazi
===amos makala anatoa taarifa kwa bunge kufafanua kauli ya esther matiko kuwa tangu uhuru serikali imewapatia maji watu 500,000 tu, makala anasema usahihi wa kauli hiyo ni kwamba kila mwaka werikali inawapatia wananchi 300000 - 500000 maji safi na salama anasema yuko tayari kuongozana na matiko kwenda kwenye vijiji alivyosema havina maji kutatua kero hiyo.
====cyril chami amesema kuwa wananchi walioko jirani na hifadhi hawanufaiki na mapato ya hifadhi hizo mf mlima kili,tarangire na sehem zingine
===updates
ridhiwan kikwete anaongea hv sasa,anasema naye anaungana na mbaruk kuwa wananchi wanaozungukwa na hifadhi za taifa hawanufiki nazo.
===anazungumzia micro finance banks,saccos na masharti yao magumu ya mikopo
===anasema saccos zisamehewe kodi
===anasema sekta binafsi ipewe kipaumbele
=====anapigia upatu bandari ya bagamoyo
===kuhusu misamaha ya kodi ni sawa lakini tuangalie maeneo ya kusamehe, kwamba vifaa vya ujenzi mfano bati zisamehewe
===kwenye kilimo anashangaa eti kilimo kinachangia 4% tu ya pato la taifa...kichekesho hiki wakati nchi nzima ni mashmba
===anasema tusizungumzie kukua kwa uchumi kwenye vitabu tu, hali halisi ya maisha ya wananchi haina uhusiano kabisa na takwimu hizo za kwenye makábrasha...
naib spika anampongeza ridhiwan na anasema like father like son.
===more updates
majadiliano ya hotuba ya bajeti yanaendelea hivi sasa jioni hii, alianza mh.hadji mponda ambaye alizungumzia suala la barabara za jimbo la ulanga magharibi, na kilimo cha umwagiliaji morogoro.
===sasa anachangia mh elizabeth batenga.ambaye ameanza kwa kuishangaa serikali kupuuzia suala la afya za wananchi hasa kitengo cha uzazi ambapo ukienda wodi za wazazi/kina mama wanaojifungua ni msiba mkubwa....kina mama wawili kitanda kimoja huku wengine wakilala chini.
===mbunge anazungumzia suala la malipo kifogo sana ya pension kwa wastaafu akitolea mfano kwa wanajeshi ambao hustaafu huku wakiwa na umri mzuri ie dio mkubwa sana pamoja na kukabiliwa na majukum makubwa ya kifamilia.
===updates
betty machangu anaipongeza serikali kwa kupunguza kiwango cha kodi kwa wafanyakazi
pia anaipongeza kwa kuongeza/kupandisha mshahara wa mfanyakazi
===updates
ni vicent nyerere sasa...ameanza kwa kumpongeza chenge kwa kuwa muwazi kuwa serikali haisikiii.....
===anasema serikali tuhamasishe uwekezaji wa ndani, kwa kuanza tungeanza na kiwanda cha matairi kwani soko lake ni kubwa hata serikali tu inatosha
===anasema mabadiliko ya baraza la mawaziri hayakuwa na tija kwani kilichofanyika ni kubadili sura tu kwani tatizo mfano la ukaguzi bandarini halijabadilika
===Anamshangaa waziri wa mambo ya ndani kuomba fedha kwenye bajeti inayotokana na kodi kwa ajili ya kulisha wafungwa!!!!!!!!! Anasema yeye angekuwa waziri angeomba matrekta ili wafungwa wakalime wazalishe chakula.
===anashangaa sana tumekuwa watu wa kulalamika tuuu mimi nyerere nilalamike, spika alalamike, riziwani naye alalamike tunaenda wapi kma taifa???????
====anashangaa mawaziri kuomba bajeti hapa hadharani lakini hawaleti majibu ya matumizi kwa uwazi.
===updates
said nkumba anachangia na ameanza kwa kuipongeza wizara ya afya kwa kufuatilia maagizo ya katibu mkuu wa ccm kwa kwenda kusikiliza kero za wananchi
===anazungumzia upungufu watumishi ktk ofisi za umma hasa halmashauri na pia upungufu wa zana kilimo hasa pembejeo za kilimo.
===anazungumzia udhaifu mkubwa uliopo kwenye hifadhi za taifa anasema ni bora baadhi ya hifadhi ni bora maeneo hayo yagawiwe kwa wananchi watumie kwa shughuli za maendeleo km kilimo.
===amezungumzia suala la maji kwa ujumla kuwa wizara imejitwhidi lakini bado kuna haja ya kuongeza jitihada
===anampongeza mh rais kwa tamko lake hivi karibuni akiwa tabora kuhusu ubadhirifu katika vyama vya ushirika..
===updates..
swali kwa ofisi ya waziri mkuu.
mh. Augostino lyatonga mrema anamuuliza waziri mkuu, katika mji wa himo kuna maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya makazi ambapo sasa serikali inataka kuyatumia maeneo hayo kuweka viwanda.
je, ni nini athari za viwanda kujengwa kwenye makazi ya watu?
je, serikali itakuwa tayari kuwafidia wananchinambao makazi yao yataathirika?
naibu waziri wa tamisemi anaendelea kujibu maswali haya.
===updates
mh.victor mwambalaswa amemuuliza waziri mkuu
Mkuu wa wilaya ya chunya aliunda tume ya kuchunguza ubadhirifu katika uendeshaji wa ushirika wa tumbaku wilayani na matokeo ya uchunguzi yameshawasilishwa kwa mkuu wa wilaya, je nini matokeo ya uchunguzi huo? Waziri anafafanua.
===clara mwatuka anamuuliza wwairi wa utumishi.kwamba sharti mojawapo katika kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi ni pamoja na kukubali cheo au daraja...,je, imewahi kutokea kwa mtumishi yeyote kukataa cheo? Waziri pamoja ufafanuzi anasema haijawahi kutokea mtumishi kukataa cheo.
====swali kwa wizara ya uchukuzi
betty machangu anamuuliza waziri wa uchukuzi , serikali kupitia SUMATRA imetangaza kuwa mabasi yanayotoka mikoaninkwenda dsm hayahitaji kuingia kwenye stend ndogo kwenye halmashauri ambapo stend hizo zimejengwa kwa gharama kubwa? Na hatua hiyo si itapunguza mapato kwa halmashauri? Serikali ifute waraka huo....
---naibu waziri anasemakuwa amri hiyo ni kwa mabasi makubwa tu na ni kwa mabasi ambayo hayana abiria wanaoshuka katika maeneo hayo. Aidha kuhusu suala la mapato mabasi hayo yanapita mizani ambazo serikali imejenga kila mkoa hivyo mapato yapo pale pale.
====swali kutoka kwa rachel mashishanga...mwaka 2012/013 serikali ililipwa bima ya ajali ya ndege iliyotokea mwanza ambapo iliahidi kununua ndege zingine lakini haikufanya hivyo......waziri anasema nia ua kutekeleza azma hiyo ipo pale pale ingawa fedha hizo hazijalipwa zote kama ilivyotakiwa kuwa.
===waZiri anasema ipo kampuni ambayo itaanzisha safari za ndege kutoka dsm- dodoma - arusha dar kwa gharama nafuu
===anne kilango ameuliza swali kuhusu ndege za kenya kuutangaza mlima kilimanjaro ambao uko tz, je nini mantiki ya hili? Mwanashera mkuu wa aerikali anafafanua kwamba kenya haina makosa kwa sababu sisi tz hatujaanzisha matangazo ya namna hiyo na pia kenya kijiografia ipo karibu na mlima kili.
====updates
mjadala wa bajeti ya serikalinumeanza na mchangiaji wa kwanza ni peter serukamba ambapo anaishangaa serikali kuwa descourage wawekezaji wa ndani na kuwakumbatia wale wa nje.....anasema serikali ije na majibu ya matatizo ya wananchi
====sasa anachangia sugu
anaanza kwa maneno kwamba ipo slogan ya kusema vijana waache kulalamika anasema vijana wataendelea kulalamika mpka kieleweke
===anasema tuhamasishe biashara ndogo ndogo.....tu promote small businesses.
===sugu anasema kwa kuhamasisha biashara ndogo ndogo itafika wakati hata wanafunzi wa vyuo vikuu kufanya kazi yaani temporary employment ie tempo.
===sugu anazungumzia maslahi kwa madaktari, esp on call allowance, posho mbalimbali, kuchelewa kuthibitishwa kazini, malipo ya arriers,fedha za likizo.
==anazungumzia ishu ya house allowance kwa wafanyakazi wa serikali esp madaktari...anasema serikali haiwezi kujiondoa kwenye house allowance kwa wafanyakazi
===madaktari wanalalamika juu ya fursa za kusoma kutoka kwa upendeleo,
=== hospitali za rufaa, huduma za x-ray hamna hospitali ya rufaa ya mbeya......mbeya hosp ina majengo mazuri ya ghorofa kwann hakuna vifaa?? Au mnataka waziri awe mnyakyusa ndio hili jengo limaliziwe?
===++=more updates
diana chilolo anachangia sasa, anaeleza kwa uchungu kuhusu hospitali ya rufaa ya mkoa wa singida ambayo hadi sasa haijakamilika...anasema kwanini serikali isiingilie kati imalizie hospitali hiyo badala ya kuwaachia wananchi wa singida peke yao
===anazungumzia kodi kwa wafanyakazi, kwamba kodi ya 12% ni kubwa mnoooo
===amezungumzia bima ya afya kuwa ipanue wigo wa watu wanaopaswa kuhudumiwa katika familia na mfuko huo kwamba tegemezi nao waingizwe
===anasema kila kitu nchi hii ni kuchangia kuchangia tuuje ni kitu gani ambacho tunawapa watz bure??
====
=====hivi sasa amesimama asumpta mshama, anasema anashukuru serikali kujenga barabara ya bunazi katoma kasenye nk japo kuna mapungufu anaomba yarekebishwe, umeme maeneo ya mtukula, hospitali na vituo vya afya na zaidi anashukuru kupelekwa ambulance katika hospitali ya wilaya yake.
===updates
anayeongea hv sasa ni leticia nyerere
anasema kuwe na vivutio na hamasa kwa walipa kodi hapa nchini kama ilivyo kwa nchi zilizowndelea, anasema nchi hizo zina utaratibu wa mlipa kodibkujaza fomu maalumu ya kulipa kodi kisha hulipwa kama zawadi au motisha.
===anasema tuwe wazalendo kwa taifa na tuwe na utamaduni wa kushukuru kwa kile kinachofanywa na serikali, kwamba ukiwa mjuaji sana halafu ujuaji wako usiwe na maana kwa wananchi kama hakuna la maana ulilofanya.
====sasa anachangia mh.rajab mbaruk,yeye alianza kwa kusifu kuwa pemba yote inaongozwa na wabunge kutoka chama cha wananchi cuf akimjibu naibu spika aliyetambulisha viongozi wa ccm wilaya ya kongwa.
===anasisitiza kudai risiti pindi ukinunua bidhaa lakini kuna udhaifu katika hilo hivyo mamlaka ya kodi nchini iangalie upya jambo hili.
====anasema ana imani na mawaziri wa fedha hasa mwigulu jinsi alivyoonyesha makeke kuishughulikia cuf na chade,a lakini je ataweza kuwashughulikia mafisadi waliojaa serikalini??
====updates
esther matiko ameanza kwa kuilaumu serikali kwa ongezeko dogo la mshahara wa mfanyakazi na punguzo dogo sana la kodi kwenye mshahara wa mfanyakazi.
===anasikitikia kutelekezwa kwa sekta ya sanaa na wasanii hapa nchini, ambapo nchi kama nigeria zimeipa kipaumbele sekta hii na kuifanya kuwa chanzo kikuu cha mapato ya nchi, pia kilimo
====anasema seikali inaishia kucheza na takwimu huku mambo yakiharibika na uchumi unadidimia.
===anachangia rage hivi sasa....anazungumzia deni la taifa kwamba wizara ya fedha na wataalam wanajitahidi kufanya kazi
===amos makala anatoa taarifa kwa bunge kufafanua kauli ya esther matiko kuwa tangu uhuru serikali imewapatia maji watu 500,000 tu, makala anasema usahihi wa kauli hiyo ni kwamba kila mwaka werikali inawapatia wananchi 300000 - 500000 maji safi na salama anasema yuko tayari kuongozana na matiko kwenda kwenye vijiji alivyosema havina maji kutatua kero hiyo.
====cyril chami amesema kuwa wananchi walioko jirani na hifadhi hawanufaiki na mapato ya hifadhi hizo mf mlima kili,tarangire na sehem zingine
===updates
ridhiwan kikwete anaongea hv sasa,anasema naye anaungana na mbaruk kuwa wananchi wanaozungukwa na hifadhi za taifa hawanufiki nazo.
===anazungumzia micro finance banks,saccos na masharti yao magumu ya mikopo
===anasema saccos zisamehewe kodi
===anasema sekta binafsi ipewe kipaumbele
=====anapigia upatu bandari ya bagamoyo
===kuhusu misamaha ya kodi ni sawa lakini tuangalie maeneo ya kusamehe, kwamba vifaa vya ujenzi mfano bati zisamehewe
===kwenye kilimo anashangaa eti kilimo kinachangia 4% tu ya pato la taifa...kichekesho hiki wakati nchi nzima ni mashmba
===anasema tusizungumzie kukua kwa uchumi kwenye vitabu tu, hali halisi ya maisha ya wananchi haina uhusiano kabisa na takwimu hizo za kwenye makábrasha...
naib spika anampongeza ridhiwan na anasema like father like son.
===more updates
majadiliano ya hotuba ya bajeti yanaendelea hivi sasa jioni hii, alianza mh.hadji mponda ambaye alizungumzia suala la barabara za jimbo la ulanga magharibi, na kilimo cha umwagiliaji morogoro.
===sasa anachangia mh elizabeth batenga.ambaye ameanza kwa kuishangaa serikali kupuuzia suala la afya za wananchi hasa kitengo cha uzazi ambapo ukienda wodi za wazazi/kina mama wanaojifungua ni msiba mkubwa....kina mama wawili kitanda kimoja huku wengine wakilala chini.
===mbunge anazungumzia suala la malipo kifogo sana ya pension kwa wastaafu akitolea mfano kwa wanajeshi ambao hustaafu huku wakiwa na umri mzuri ie dio mkubwa sana pamoja na kukabiliwa na majukum makubwa ya kifamilia.
===updates
betty machangu anaipongeza serikali kwa kupunguza kiwango cha kodi kwa wafanyakazi
pia anaipongeza kwa kuongeza/kupandisha mshahara wa mfanyakazi
===updates
ni vicent nyerere sasa...ameanza kwa kumpongeza chenge kwa kuwa muwazi kuwa serikali haisikiii.....
===anasema serikali tuhamasishe uwekezaji wa ndani, kwa kuanza tungeanza na kiwanda cha matairi kwani soko lake ni kubwa hata serikali tu inatosha
===anasema mabadiliko ya baraza la mawaziri hayakuwa na tija kwani kilichofanyika ni kubadili sura tu kwani tatizo mfano la ukaguzi bandarini halijabadilika
===Anamshangaa waziri wa mambo ya ndani kuomba fedha kwenye bajeti inayotokana na kodi kwa ajili ya kulisha wafungwa!!!!!!!!! Anasema yeye angekuwa waziri angeomba matrekta ili wafungwa wakalime wazalishe chakula.
===anashangaa sana tumekuwa watu wa kulalamika tuuu mimi nyerere nilalamike, spika alalamike, riziwani naye alalamike tunaenda wapi kma taifa???????
====anashangaa mawaziri kuomba bajeti hapa hadharani lakini hawaleti majibu ya matumizi kwa uwazi.
===updates
said nkumba anachangia na ameanza kwa kuipongeza wizara ya afya kwa kufuatilia maagizo ya katibu mkuu wa ccm kwa kwenda kusikiliza kero za wananchi
===anazungumzia upungufu watumishi ktk ofisi za umma hasa halmashauri na pia upungufu wa zana kilimo hasa pembejeo za kilimo.
===anazungumzia udhaifu mkubwa uliopo kwenye hifadhi za taifa anasema ni bora baadhi ya hifadhi ni bora maeneo hayo yagawiwe kwa wananchi watumie kwa shughuli za maendeleo km kilimo.
===amezungumzia suala la maji kwa ujumla kuwa wizara imejitwhidi lakini bado kuna haja ya kuongeza jitihada
===anampongeza mh rais kwa tamko lake hivi karibuni akiwa tabora kuhusu ubadhirifu katika vyama vya ushirika..