Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Ukikataa viroba umekataa utumwa wa wachagaNajua maisha ya utumwani tutavuka tu na kua huru kabisa.
Ukikataa viroba umekataa utumwa wa wachagaNajua maisha ya utumwani tutavuka tu na kua huru kabisa.
Kituo cha Kaloleni A5
CDM 51
CCM25
CUF 11
HAMY-D, Juliana Shonza, Ritz, Mingoi, tafadhali tuendelee kuwa pamoja.
Tumekaa wote tangu asubuhi, msiondoke tafadhali.
Kituo cha Kaloleni A5Yericko [B said:Nyerere[/B];6823857]Ondoa hofu mkuu, anza kula na kusherekea tu mkuu,
Tunamsubiri mkurugenzi wa jiji la Arusha atuthibitishe tu kuwa ni washindi wa kata zote!
Pipoooooooooooooooz! Pawaaaaaaaaaaaaa!
Pamoja kama jembe na mkulimaHAMY-D, Juliana Shonza, Ritz, Mingoi, tafadhali tuendelee kuwa pamoja.
Tumekaa wote tangu asubuhi, msiondoke tafadhali.
Zaidi ya nusu ya vituo vyote vimeshahesabiwa na CHADEMA inaongoza kwa zaidi ya 70%
Wana JF nina shauku ya matokeo mpk nimeanza kutetemeka! Ngojangoja inaumiza matumbo tuleteeni hayo matokeo................................................!
Uzuri unadhihilisha akili zenu zilivyo, sikushangaiChadomo ni chama cha waoza meno kwahiyo hata wakishinda leo ni halali yao,si wapo nyumbani
Afya za makamanda,kwani wamekosa hamu ya kula ghafla na mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi ya farasi
Naona Bavicha mmeshaanza girba
Yericko sio mtoto wa NyerereKituo cha Kaloleni A5
CDM 51
CCM25
CUF 11
Wadanganyika bwana?! Yaani hadi wale wa kwenye ukoo wa Nyerere walishahama CCM wao ndio kwanza wanaipigia kura! Poor Tanzanians!
....Live up data Kata ya Kaloleni ....Source Sunrise Radio
kaloleni vituo 12
Chadema CCM
51 25
68 19
67 20
57 25
69 21
60 15
41 21
50 22
54 30
54 15
b2 kituo nitawaletea
Vituo 12 Kaloleni