We unaujua utukufu kweli?!,kama ungakuwa unajua usingekuwa unawasumbua watu kila siku,ulipaswa kufanya mara moja tu!
'mwenzako anaongea kama anakimbizwa na wewe unaongea kama unafanywa nini ndugu..............anaogea sabuni gani kwani'
'mwenzako anaongea kama anakimbizwa na wewe unaongea kama unafanywa nini ndugu..............anaogea sabuni gani kwani'
Hapana Mkuu kuna moja wamekaa vizuri wataichukua,lakini bado hata wakipotza moja ama mbili ni hasara kwao ni uthibitisho kwamba watakuwa wamekwisha kwa sababu zote nne zilikuwa ni zao,lakini............................!!!
Nimepigiwa simu na jamaa zangu Arusha wameniambia hali ni mbaya kwa Chadema kuna uwezekano mkubwa wakapoteza hizo kata.
mkuu pole, kumbe dhambi inarusiwa? mwigulu kawapoteza.
Kitabu gani kinaruhusu kufanya mara moja? kama unafanya hivyo ujuwe wewe nikafiri mkubwa wallah.
mkuu japo vyafanana, kuna utofauti mkubwa mno kati ya kufunga na kushinda njaa.Mnauthibisho wa M800 unauthibitisho? kufunga ni utiifu na ukamilifu wewe na huyo Ritz
kama mnadhani kufunga ni kuropoka na uzushi hamna thawabu ni wanafiki na nimakafiri tu. hamfuati sharia za mwezi mtukufu
Kwao Siasa kwanza.Mnauthibisho wa M800 unauthibitisho? kufunga ni utiifu na ukamilifu wewe na huyo Ritz
kama mnadhani kufunga ni kuropoka na uzushi hamna thawabu ni wanafiki na nimakafiri tu. hamfuati sharia za mwezi mtukufu
kwa hiyo hata ccm imekwisha kwani walipoteza kata 4 walizokuwa wanazitetea kwenye uchaguzi wa 16/06/2013..
[COLOR=#f0000]mtaongeo[/COLOR] yote lakini mwisho wa vurugu zenu leo.
Mungi
Arushaone
Filipo
Freedom Of Flag
Daudi Mchambuzi
Crashwise
GanjaPlanter
PakaJimmy
olevaroya
Na wengine wote wanaoshirikiana kwa pamoja kutupa newz yote ya vituo vyote.
Nami kutokana na mambo ya hapa na pale ya kikazi muda c mrefu nitakuwa kata ya Kaloleni kuongeza nguvu kwa chochote kile nitakayoona.
Wewe mtumwa mjinga mbinu yenu yote ya ufisadi!
Tunakaba mwanzo mwisho!
Ni nne kati ya ngapi,na hizi ni ngapi?!,hivi nyie mmesomea wapi?!
Yeye anaongea kama vile tayari amemaliza,ndiyo maana unaona maneno yake hayaeleweki Mkuu!
Kaloreni vipi?