kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,064
- 1,448
Aaaah, acha kabisa wanatisha !! yaani sijapata kuona! Katambuga social club mpaka leo kashindwa kuchomoa 5 - 0 ! alizochomekwa na Simba! kabaki kuweweseka!Simba wanatisha aisee, walipigwa goli 3 na timu ya wananchi wakazichomoa zote, wakaenda Tanga wakapigwa goli 0 na wagosi wa kaya, wakachomoa kwa kuwapiga hiyo hiyo 0. Leo nawatakia uchomoaji mwema wa idadi yoyote ya goli watakazopigwa ili gemu liishe kwa suluhu au sare. CC. Kitoabu (Ombi lako kwenye mechi ya watani lahusika).