Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hivi watu wanaofungua kesi bila kupata ushauri wa kisheria; wanasababisha rasilimali za Umma kama muda, rasilimali watu na pesa kutumika kusikiliza kesi zisizo na mshiko, wanatofauti gani na Mafisadi ?
Makamba baada ya uchaguzi aliwaambia makada wao wafunge kesi zidi ya wabunge wa vyama vya upinzani(CHADEMA), hivyo ni mikakati ya chama chao kuwazoo fisha wabunge wa chadema...