Samatta anapata equivalent na Tsh.45,000,000/= kwa mweziMsimvimbishe kichwa Alikiba.. Diamond ni next level... Hao wote kwenye list ukichanganya ndururu zao hazifiki hata nusu ya Mondi
Samatta anapata equivalent na Tsh.45,000,000/= kwa mweziMsimvimbishe kichwa Alikiba.. Diamond ni next level... Hao wote kwenye list ukichanganya ndururu zao hazifiki hata nusu ya Mondi
Haya asanteMsikariri
Yusuph
Ana hisa kwenye kampuni za SSB, OPL na Azam zote
Ukitoa matumizi na kodi zinazobaki itamchukua muda gani mpaka kufikisha B1?Samatta anapata equivalent na Tsh.45,000,000/= kwa mwezi
mkuu naona we team kiba?Chanzo ni Clouds Media, Facebook
Mbwana Samata ameongoza list ya vijana 50 wenye ushawishi nchini Tanzania, Millard Ayo ashika nafasi ya 3, Ali Kiba amfunika Diamond Platnumz
View attachment 677091
Hiyo orodha imejaa over 40 kibao... Wangesema wenye muonekano wa ujana.Fatma Karume ni kijana?