Querido
Senior Member
- May 12, 2014
- 175
- 103
Ifuatayo ni aina mbili za watu maarufu kuhusu misimamo yao juu ya ya Dp World.
Watakao kataaa mwanzo mwisho suala la bandari.
1. Dr Salaa
2. Fr. Kitima
3. Mwanasheria wa Mbeya
4. Askofu Mwamakula
5. Prime Minister
6. Lukuvi
7. Warioba
8.Siro
9. CiC mstaafu
10. Shivji
Wafuatao ni watakaofikia bei. I mean dau litawafanya wabadili misimamo. Baadhi nitaandika kama taasisi.
1. Chadema
2. Cuf
3.Sukuma Gangs
4.Kikwete fcs
5. Timu ya ushindi 2025
6.Wafanyabiashara wengi
Nb. Ongeza list yako. Ni utabiri tu. Muda utaamua.
Watakao kataaa mwanzo mwisho suala la bandari.
1. Dr Salaa
2. Fr. Kitima
3. Mwanasheria wa Mbeya
4. Askofu Mwamakula
5. Prime Minister
6. Lukuvi
7. Warioba
8.Siro
9. CiC mstaafu
10. Shivji
Wafuatao ni watakaofikia bei. I mean dau litawafanya wabadili misimamo. Baadhi nitaandika kama taasisi.
1. Chadema
2. Cuf
3.Sukuma Gangs
4.Kikwete fcs
5. Timu ya ushindi 2025
6.Wafanyabiashara wengi
Nb. Ongeza list yako. Ni utabiri tu. Muda utaamua.