Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
We mkurya au mmwera
Unaanzaje kuiweka Iringa ukaiacha Mara, Lindi, pwani
Unaanzaje kuiweka Iringa ukaiacha Mara, Lindi, pwani
Umenikumbusha Tabu Hoteli.Duuuh ningeshangaa sana kuukuta mkoa wa wachomoa betri
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
Nipo Dodoma kwenye shughuli zangu za kutafuta kipato yaani kuna mabwege mabwege wajinga wajinga na washamba walioshindikana nahisi labda ni hii mimboga yao inayovutika vutika kama makamasi loooYaani wa
Yaani Wagogo na Waha unawaweka chini huko? Huna akili!
Kumbe sisi wa Tanga si washamba eeehwakuu..kuna utafiti nimeufanya juu ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na watu washamba hapa Tanzania..na hii ndio full list.
1.Shinyanga
2.Simiyu
3.Geita
4.Katavi
5.Rukwa
6.Mbeya
7.Mwanza
8.Kagera
9.Songwe
10.Manyara
11.Iringa
12.Tabora
13.Ruvuma
14.Mtwara
15.singida
16.Dodoma
17.Kigoma
Moro ndo wanasambaza ujanja tanzaniaUjanja ndio ulipoanzia hapo mkuu ndio ukasogea kwa mikoa ya jirani mkuuu
Hili ni povu Mkuu,akupe mkeo umpake rangi kucha?Namba 13 umechemka.
Tupe mkeo umalizie utafiti wako.
Ni wivu tuBukoba mbona haipo? Maana ni wajuaji ila hamna kitu.
KageraBukoba mbona haipo? Maana ni wajuaji ila hamna kitu.
Ushamba ni nini ? tuanzie hapowakuu..kuna utafiti nimeufanya juu ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na watu washamba hapa Tanzania..na hii ndio full list.
1.Shinyanga
2.Simiyu
3.Geita
4.Katavi
5.Rukwa
6.Mbeya
7.Mwanza
8.Kagera
9.Songwe
10.Manyara
11.Iringa
12.Tabora
13.Ruvuma
14.Mtwara
15.singida
16.Dodoma
17.Kigoma
Wachagga wana run hii country by remote control. Tangu uhuru hadi kesho. Anzia BOT, MUHIMBILI, MABENKI, TRA, name it wapo siti za mbele.ushamba upi unamaanisha?? Kumbaf sana we jamaa una chuki na wasukuma ila ukweli utabaki palepale kwamba we run this country motherf****
Namba naneBukoba mbona haipo? Maana ni wajuaji ila hamna kitu.