Lwaka anastakiwa kwa kujihusisha na matendo ya kigaidi ndani yake lipo la kibanda
Tafsiri ya kosa la ugaidi kwa sheria za Tanzania unahusisha nini? kumteka mtu, kushambulia ofisi za umma au kundi la watu kwa nia ya kuua na kuharibu mali?
Lwaka anastakiwa kwa kujihusisha na matendo ya kigaidi ndani yake lipo la kibanda
Huu ndo unaitwa ULAGHAI. Yaani mwanasheria anatoka kwenye kesi badala azungumzie kesi hiyo ni ya nini yeye anasema kesi hiyo SI ya nini!!! Halafu kuna mijitu inashabikia. Hata angewaambia hakimu wa leo kavaa suti nyausi mngeridhika.
Hizo kesi nyingine sio mada ya leo, mada ya leo ni makosa manne aliyoshitakiwa Lwakatare likiwemo la kutoa sumu ya kudhuru binadamu.
Mi nadhani lwakatare ndio anapaswa kutuambia alikua anakula njama za kumteka nani siku ile na amashafanya hivyo kwa watu wangapi na ni kina nani hao???haya ndio maswali ya msingi
ungewapa hayo maswali polisi wamuulize, maswali waliyomuuliza majibu yake ndo wamefungua hayo mashitaka manne ambayo hayana uhusika wowote na:-1. Utekwaji wa Dr. Ulimboka2. Utekwaji na uteswaji wa Kibanda3. Mauaji ya Mwangosi4. Mauaji ya Ally Dona Morogoro5. Mauaji ya Padri kule Zenji6. Kumwagiwa Tindikali kijana Musa kule Igunga7. Zahama za Ajali ya Mwakembe na Tindikali alizowekewaKwa hiyo tutahitaji watuhumiwa waliohusika kuwaletea wataanzania hawa Majeraha na uhalibifu wa miili yao kutoka Polisi.Mi nadhani lwakatare ndio anapaswa kutuambia alikua anakula njama za kumteka nani siku ile na amashafanya hivyo kwa watu wangapi na ni kina nani hao???haya ndio maswali ya msingi
Wana haraka kama cha kwanzaAbusive language!kweli JF kuna watu na viatu!
Nashangaa kwanini MODS hawampi haki yake mpaka sasa!
Tafsiri ya kosa la ugaidi kwa sheria za Tanzania unahusisha nini? kumteka mtu, kushambulia ofisi za umma au kundi la watu kwa nia ya kuua na kuharibu mali?
Kuwa na subira kaka mambo ndiyo yameanza.
Upumbavu ujinga hauna gharama ni wa bure kwa anaejaliwa nao kama CCM na mazezeta wakeWana haraka kama cha kwanza, hii ni video moja tu kati ya tano za mutu ya Bukoba, kabla haijamalizia na kile kitabu cha TUNTEMEKE ndani, wauaji wotenlazima waanikwe hadharani.
Mbona polisiccm wanadai la kibanda upelelezi haujakamilika au huko lumumba mmeshakamilisha?Katika mipango yake ya mambo ya kigaidi tunajua amepanga na kutekeleza mangapi? Likiwemo la kibanda?
tunaona mnajipanga vyema sana kuvuruga nchi sasaKuwa na subira kaka mambo ndiyo yameanza.
mshachelewa sana mjomba. tushaingiliana kama wapalastina na mayahudi.
tulieni tuzae na nyinyi tu, mpaka kieleweke.
ccm=chama cha mapumbafu
Ungekuwa wa maana sana kama ungechangia insulin kumsaidia gaidi asife kwa kisukari huko mahabusu ili apambane na mkono wa sheria.a.k.a mpiga picha na watu mashuhuri a.k.a mtoa ahadi lukuki...!