Kwahiyo unataka kusema kua huyo Polisi mmoja alieshika matiti ya wakili msomi ndo dola asishtakiwe eti?hii sasa ni kiburi!!
wahenga wanasema "kiburi si muungwana!!""
anataka kupambana na dola wakati kuna mambo mengi muhimu yanayo husu usalama wa nchi,
Wahusika kupitia mawakili wao 29 hawajafungua kesi ya jinai unayoona wewe.Sijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai
Ingekua ni wewe umeshikwashikwa bila ridhaa yako na kuvutwavutwa mawakili wangejitokeza kukutetea ungesema ni mawakili watafuta kiki?Na muda wanao,mawakili watafuta kiki.
Lisu na genge lako mnatudharilisha Wanasheria. Hiyo kesi inahitaji mawakili 29?? Kwa nini msiende Segerea mtafute na kuwatetea wafungwa wanaokosa msaada wa kisheria?Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
umeshapanic tayari. taratibu tu tutaelewana.
Ndilo tatizo la kuwaziba watu midomo Lazima watakuja na mbinu za kusikikaNikisema sehemu kubwa ya watanzania wanapenda kuishi na kusikiliza matukio. Kweli hawa mawakili wasomi wanapoteza muda wao kwa kesi ya kijinga kama hii. Wengine wameshasema huyu mama anafaa kuwa Rais wa Zanzibar. Kweli nimeamini kuwa watu wanajua kutafuta Kiki.
Unamwambia wakili aondoke mahakamani, kazini kwake!! Kwani kulikuwa na janga la moto...! Huyo rafiki yako polisi ataieleza mahakama sababu ya kumfukuza wakili kazini kwake, kumbuka atakuwa anaulizwa na manguli wa sheria, usikae mbali.Sheria inasemaje kama mtu anatakiwa kuondoka mahakamani mara moja halafu akawa hataki kuondoka?
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee huyu dada anatafuta kiki ya lazima ..nchi hii bilion moja?? itoke wapi?? si bureee!!!!
makiki kama wasanii...hadi wanasheria nao wamo!!!
Kwani walipomchagua walimkataza asiende mahakamani na segerea? Jukumu la kuwaletea maendeleo watu wa jimbo lake ni la serikali ya CCM chini ya magufuli, mbunge ni muwakilishi tu wa wananchi.Singida vijijini wanakuhitaji.....kwa huyu TUNDU alichaguliwa KUWA MBUNGE wa kushinda MAHAKAMANI na SEGEREA?????
Ila ndiyo kawaida yetu waTZ, ushindani wa maneno, angalia mtaani na maofisini au sehemu za kujipatia riziki, tukishaamka sisi kinachofanya kazi ni mdomo kuliko akili au mwili!Kwanini hizi pesa tusiwape mawakili wetu wapambane kwenye kesi za wahujumu uchumi kama ambavyo tunakabiliwa na kesi nzito ya IPTL?....
aisee huyu dada anatafuta kiki ya lazima ..nchi hii bilion moja?? itoke wapi?? si bureee!!!!
makiki kama wasanii...hadi wanasheria nao wamo!!!
Hiki ndicho CCM na watawala wanachokitaka, watu kuwa mambumbumbu wa haki zao ili uwatawale vizuri, lazima umwache mtu kwenye personal space yake, sio unashikashika watu hovyohovyo.Bora hata akasomee uccm kuliko sheria ambapo wanasheria wote Tanganyika wanaongozwa na Lissu ambae kwangu sijawai kumwona mtu makini zaidi ya mpiga makelele tu hv leo mtu kushikwa bega wanasheria 29 je angeshkwa vingne ingekuwaje???? inaonekana fani ya sheria vilaza ni weng sana wasioweza kujua uzito na umuhimu wa kesi
Walikuwa na hiyo option ila wameona haifai, wapo huru waache wafanye kinyume na unavyotaka wewe, ndio demokrasia hiyo.Lisu na genge lako mnatudharilisha Wanasheria. Hiyo kesi inahitaji mawakili 29?? Kwa nini msiende Segerea mtafute na kuwatetea wafungwa wanaokosa msaada wa kisheria?
Hiyo kesi mngewaachia vijana wa intern na wakili msomi mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app