Utitiri wa mawakili ni kuonyesha msisitizo pia kupanbana na Amri toka juu kwa majaji ambao hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM.Zile kelele za Polisi wengi kutumika wakati wa kuwakamata kwenu ni matumizi ya nguvu pasipo ulazima, sasa huu utititri wa mawakili vp?