Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 63,275
- 158,905
Kama propaganda nyingine tu
Kama propaganda nyingine tu
Ccm waliuza migodi yote na juzi waliuza bandari hii unaisemeaje jingalaoHili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
akati yeye mwenyewe ni puppet wa mabwenyenye wa magharibiHili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Mamndenyi nakupongeza sana kwa kiingereza chako cha juhudi binafsi.Sometimes nawaza kuwa huyu Bwana mdogo was affected by more medicines.
Uko humu humu unatukana humo humo.
Tofauti ipo kubwa sana yani Chadema mtu unaweza kukosoa unavyotaka ila CCM ukikosoa tu jambo, Unaitwa kamati kuu. Yani hakuna uhuru CCM.Lugha na maudhui aliyotumia Lissu kuisema Chadema yake kuhusu Rushwa ndiyo mbinu alizokuwa anatumia Makonda kuichafua CCM,nini tofauti yake.
Aliyeuza Bandari za Tanganyika ni Lissu?Hili halitoki kwa wana CCM bali kwa makamu mwenyekiti wa CDM ndugu Lisu
Hoja inahusu mauzoUsihamishe hoja brother