Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameahidi kurejea nchini baada ya kuona Tanzania sasa ni salama chini ya Rais Samia Suluhu kama tunakumbuka Rais Samia Suluhu Februari 2022 alifanya ziara ya kikazi nchini Ubelgiji Lissu alitumia fursa hiyo kukutana na Rais Samia Suluhu na kufanya mazungumzo kwa saa moja.
Baada ya mazungumzo yale Lissu alieleza kuwa amezungumza na Rais Samia kuhusu kesi iliyokuwa inamkabili mwenyekiti wa Chadema na kesi hiyo Rais Samia Suluhu aliifanyia kazi ikafutiliwa mbali.
Lissu aliongelea pia kuusu zuio la mikutano ya hadhara ambalo Rais Samia Suluhu amelifanyia kazi mwanzoni mwa mwaka huu.
Lakini Pia anaesema alimueleza kuhusu haki zake alizonyimwa baada ya kuvuliwa ubunge kwani alikuwa mbunge pekee ambaye hakupokea kiinua mgongo pia hili nalo Rais Samia Suluhu alilifanyia kazi.
Nimerejea haya yote kuona ni kwa kiasi gani Rais Samia Suluhu anapenda maridhiano yani zile nguzo za uongozi wake zinaiongoza nchi vizuri amefanyia kazi yale yote yaliyokuwa kinyume na sheria na sasa ulinzi na usalama wa nchi yetu umeimarishwa na ndio maana Lissu anapata ujasili wa kurudi nchini baada ya kukaa nje kwa miaka 5.
Mungu aendelee kumuongoza Rais Samia Suluhu ili aendelee kuiongoza nchi kwa kufata sheria na katiba ya nchi.
Baada ya mazungumzo yale Lissu alieleza kuwa amezungumza na Rais Samia kuhusu kesi iliyokuwa inamkabili mwenyekiti wa Chadema na kesi hiyo Rais Samia Suluhu aliifanyia kazi ikafutiliwa mbali.
Lissu aliongelea pia kuusu zuio la mikutano ya hadhara ambalo Rais Samia Suluhu amelifanyia kazi mwanzoni mwa mwaka huu.
Lakini Pia anaesema alimueleza kuhusu haki zake alizonyimwa baada ya kuvuliwa ubunge kwani alikuwa mbunge pekee ambaye hakupokea kiinua mgongo pia hili nalo Rais Samia Suluhu alilifanyia kazi.
Nimerejea haya yote kuona ni kwa kiasi gani Rais Samia Suluhu anapenda maridhiano yani zile nguzo za uongozi wake zinaiongoza nchi vizuri amefanyia kazi yale yote yaliyokuwa kinyume na sheria na sasa ulinzi na usalama wa nchi yetu umeimarishwa na ndio maana Lissu anapata ujasili wa kurudi nchini baada ya kukaa nje kwa miaka 5.
Mungu aendelee kumuongoza Rais Samia Suluhu ili aendelee kuiongoza nchi kwa kufata sheria na katiba ya nchi.