ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Badala ya kumjibu waweweseka, lumumba 'fashion' show.Hawkins chama kisichopokea ruzuku kutokea kwa serikali ambayo ni ya wenye chama tawala. Kumbuka hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya kumjibu waweweseka, lumumba 'fashion' show.Hawkins chama kisichopokea ruzuku kutokea kwa serikali ambayo ni ya wenye chama tawala. Kumbuka hilo.
Hana kumbukumbu kabisa huyu prof uchwara!
Alitegemea Maalim atajirudi na kuomba msamahaSi alisema Maalim Seif alitimuliwa , imekuwaje tena ?
Dhamani= thamanikwahiyo alitaka abaki CUF ndio yeye na kile chama kingine kinchomsupport yeye Lipumba waendelee kumnyanyasa mzee wa watu tu. Muache akale zake kuku kwa mrija ACT.
Yule yupo sehemu sahihi kwa wakati huu na anadhaminika ili kutilia mkazo dhamani yake ACT wamempa kadi NO.1.
Huyu mzee amewadhalilisha PHD holders wa Uchumi.
Hadi watoto wadogo wameshamdharau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa hizi tunatizama fashion show ya Kipemba na Kimuha.
Jamani muombeeni amazedka vibayakuna ulazima huyu mzee atakapozungumza tena itabidi awekewe kwanza rekodi ya alichokizungumza mwanzoni.
jana alisema ya kwamba maalim seif walishamfukuza uanachama kupitia mkutano mkuu lakini leo amezungumza chengine.
empty set
🤣🤣
Wewe Bibi inaonyesha Mkabila sana,hii ni comment yako ya pili ambayo ina chembe chembe za kikabila..Saa hizi tunatizama fashion show ya Kipemba na Kimuha.
Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambalamvinyo!
Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini akaona fahari za kuhongwa Pombe iliyopo ndani ya Mtungi. Hivi Pumba hazina uislam ndani yake? Nilidhani ni haramu kuhongwa Pombe iliyohifadhiwa Mtungini!!Alikataa kuhongwa na Lowassa na akasema "dhamira inamsuta".
Kwa hili Prof Lipumba amelikoroga tena sana amesababisha migogoro CUF mwenyewe Msaliti ni yule anaye sababisha migogoro 2015 alisema amesiaafu siasa na kujiuzulu uwenyekiti wa CUF kumbe alifanya hivyo kwa mikakati maalum hiyo mikakati maalumu ndiyo ime sababisha migogoro CUF ''He is fooling us around''Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
View attachment 1049898
Sent using Jamii Forums mobile app