mzeewadriver
Member
- Jan 7, 2008
- 93
- 0
Na wewe tutolee upupu wako hapa , aliyetangazwa kuwa ni chaguo la mungu ni huyom mgonjwa wenu wa kifafa, na huyo ndiye wa kupewa pole kwani wiki hii kaanguka na kuzirai kwa muda mrefu zaidi kuliko kawida yake. Dr yupo makini na anastahili kupongezwa kwa kukiinua chama chake kupata wabunge wengi tofauti na huyo KIFA ULONGO aliyekiporomosha chama chake cha mafisadi kukosa zaidi ya majimbo 50.Na kwa taarifa yako huyo JK alikuwa anaanguka mara 1 kwa mwezi, hivi sasa kila wiki lazima azimike. Damu ya wabongo aliowadhulumu haki ya kupata kiongozi bora itamdhuru sana.
Ushahidi plz, au ndo chachandu baada ya uchaguzi?