Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
mmmmmmhhhh
aaa jamani mi nimechoka na story za hawa mafisadi...hivi sasa tuangalie jinsi gani tutakamata mali zao sisi kama watanzania tugawane haki yetu...kila thread naona kinachoendelea ni kuongezeka kwa mafisadi tena wengine wanarudia uchafu uleule tunaopigia kelel hapa...embu angalia hivi majuzi kulikuwa na hafla ya MO ...cha ajabu ndani mule walikuja karibia mafisadi wote waliotajwa kwenye EPA,DEEPGREEN,mmmh mi sijui...sasa kama hawa watu tunawakaribisha na huku tukijifanya kuwapeleka mahakamni...huu uhuni mtupu...wakina lukaza na wenzao walikuwa wana smile tu ....jamani ...mmmmmhhh sasa embu tutatfute njia nyingine ya kupata mali zao na sisi tugawane.....mwenye mawazo anakaribishwa
ANGALIZO
ISIWE KUUA
aaa jamani mi nimechoka na story za hawa mafisadi...hivi sasa tuangalie jinsi gani tutakamata mali zao sisi kama watanzania tugawane haki yetu...kila thread naona kinachoendelea ni kuongezeka kwa mafisadi tena wengine wanarudia uchafu uleule tunaopigia kelel hapa...embu angalia hivi majuzi kulikuwa na hafla ya MO ...cha ajabu ndani mule walikuja karibia mafisadi wote waliotajwa kwenye EPA,DEEPGREEN,mmmh mi sijui...sasa kama hawa watu tunawakaribisha na huku tukijifanya kuwapeleka mahakamni...huu uhuni mtupu...wakina lukaza na wenzao walikuwa wana smile tu ....jamani ...mmmmmhhh sasa embu tutatfute njia nyingine ya kupata mali zao na sisi tugawane.....mwenye mawazo anakaribishwa
ANGALIZO
ISIWE KUUA