Uchaguzi 2020 Lindi: Majengo ya Serikali yachomwa, magari yaharibiwa kisa Uchaguzi

Wizi na hujuma za demokrasia nchini, haziwezi kudhibitiwa kwa maandamamano ya Lissu, Mbowe na Zitto. Lindi wameonesha mifano japo kwa asilimia 20% walitakiwa wafike 80% ya kudai democracy.

Kumbuka, CCM wanafaidika na wizi huo. Hawako tayari kuziachia faida hizo. Na wananchi nao hawako tayari kuandamana eti kisa kudai democracy. Yapaswa wale walioumizwa kuwatafuta wote waliowaumiza na kulipa kisasi, yaani malipo yawe hapahapa.

Kuna aliyewaapisha walinzi kulinda wasimamizi.
Kuna aliyenyima barua za mawakala
Kuna waliosimamia na kutekeleza walichoagizwa na yule wa kwanza.

Hawa wote yafaa wapate maumivu ya kuharibu uchaguzi. La sivyo mmewapa kibali cha kula mema ya Tanzania kwa miaka mitano tena. Na watafanya ni kawaida.

Lindi wameonesha njia
CHADEMA
Maoni yenu tafadhali
 
Hahaha uongo huu, juzi walisema Mtwara hali tete, leo wanatuletea habari za Lindi.

Mi nitasubiria kuona moto kwa macho yangu hapa Dar es Salaam, kama sitauona basi najua zote hizi ni story za kutengeneza.

Revolution will not be televised..

Unasubiri kuuona moto aliowasha nani..????
 
Taratibu uonevu wa serikali unatengeneza uasi. Watu wenye hasira kama hawa ni rahisi sana kurubuniwa na magaidi na kufanya vitendo vya kihalifu kwa sababu wanajiona hawana dhamani katika nchi yao
 
Kuna tatizo kubwa sana kwa kuwa na mkuu wa Dola ambaye pia ni mwenyekiti wa chama.
Yote haya yanatokea kwa sababu ya kulinda Chama na kuua utaifa wetu.

Mtu anapiga kampeni na kupoteza jasho lake na sauti yake miezi miwili halafu anashinda kwa kura za wananchi , lakini anatokea Mlarushwa mmoaja anapewa fedha kisha anabadili matokeo na kumtangaza akiyeshindwa.
Chuki inajengeka mana aliyeshindwa anapotangazwa huwa anajiona kuwa yeye ni bora zaid. Aliyevuruga uchaguzi anapandishwa cheo kama vile amefaya jambo jema sana.

Kwa asili ya binadam kila jambo baya lina malipo yake hapa apa Duniani.
 
Mkuu wa Mkoa huo, Godfrey Zambi, ameyaeleza hayo mjini Lindi, alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusiana na uharibifu uliofanywa wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 28, mwaka huu.

Watu hao wanadaiwa kufanya fujo kwa sababu ya kutoridhishwa na mwenendo wa uchaguzi ulivyokwenda, kutokana na kile kinachodaiwa kuhujumiwa, ikiwamo kuzuiliwa mawakala kuingia vituoni, ongezeko la vituo hewa vilivyo nje ya mfumo na vitambulisho vya kupigia kura.

Madai mengine ni kubadilishiwa matokeo ya ushindi ya mgombea aliyeshinda kupewa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Zambi alisema katika fujo hizo, magari zaidi ya saba kati ya hayo mawili ya polisi, majengo ya serikali pamoja na binafsi tisa na pikipiki moja, yaliharibiwa kwa kuchomwa moto.

Zambi alizitaja wilaya zilizoathirika kutokana na uharibifu huo ni Liwale, Nachingwea, Kilwa na Lindi katika Halmashauri ya Mtama.

Amesema Liwale magari zaidi ya saba, likiwamo la polisi na binafsi yaliyokodiwa kusaidia uchaguzi huo, yaliharibiwa, na kwamba nyumba mbili na magari matatu ya Mbunge mteule, Mohamed Kuchauka.

Imo pia zahanati ya Diwani mteule Kata ya Liwale Mjini, Omari Mkoyage na nyumba moja ya askari polisi.

Zambi alisema wilayani Nachingwea, magari matatu na nyumba, mali za Diwani mteule Ahamadi Makoroganya, gari moja la polisi na nyumba zimechomwa moto, huku jengo la Mahakama Wilaya limenusurika licha ya kuwamo kwenye orodha ya kutaka kuichoma.

Kwa mujibu wa Zambi, Halmashauri ya Mtama, watu hao walichoma moto majengo mawili, ikiwamo ofisi ya muda anayoitumia Mkurugenzi Mtendaji, Samuel Waryoba, Ofisi ya Serikali ya Kata ya Mtene na jengo la saluni la mtendaji wa kata hiyo.

Alisema Jeshi la Polisi linawashikilia watu kadhaa kwa ajili ya mahojiano, kwa lengo la kuwabaini waliohusika.

CHANZO: Nipashe | Mwandishi - Said Hamdani
Wananchi wa huko ndio wanajua kudai kura zao
 
Wizi na hujuma za demokrasia nchini, haziwezi kudhibitiwa kwa maandamamano ya Lissu, Mbowe na Zitto. Lindi wameonesha mifano japo kwa asilimia 20% walitakiwa wafike 80% ya kudai democracy.

Kumbuka, CCM wanafaidika na wizi huo. Hawako tayari kuziachia faida hizo. Na wananchi nao hawako tayari kuandamana eti kisa kudai democracy. Yapaswa wale walioumizwa kuwatafuta wote waliowaumiza na kulipa kisasi, yaani malipo yawe hapahapa.

Kuna aliyewaapisha walinzi kulinda wasimamizi.
Kuna aliyenyima barua za mawakala
Kuna waliosimamia na kutekeleza walichoagizwa na yule wa kwanza.

Hawa wote yafaa wapate maumivu ya kuharibu uchaguzi. La sivyo mmewapa kibali cha kula mema ya Tanzania kwa miaka mitano tena. Na watafanya ni kawaida.

Lindi wameonesha njia
Nakuumga mkono kwa asilimia zote. Haiwezekani kibaka mtaani akiiba achomwe moto halafu mtu akipora haki za watu aachwe akitamba mtaani. Mimi naona Bavicha ni vijana waoga sana. Kile walichofanya watu wa Lindi kilitakiwa kitokee nchi nzima ile siku ya tarehe 29. Magari ya serikali yachomwe moto, nyumba za wakurugenzi wa halmashauri zote zichomwe moto, ofisi zote za ccm nchi nzima ziyeketezwe kwa moto, ofisi za kata zichomwe moto, gari la polisi litakaloonekana mtaani lichomwe moto. Hapo ndipo yutaheshimiana. Sasa vijana wetu ni waoga mno, very disorganized, yaani jamaa wanatamba kana kwamba hakuna kitu kibaya walichokifanya. Hii haikubaliki.
 
Back
Top Bottom