kali sana naiskiza sasaFresh azmiz sijui daah
Mkuu utakuwa ni mnaa flaniDown like a best friend and two homies in the gang
When you cry I wanna feel your pain, no secrets no games
All excitement, nothing plain
Keep you happy, that's my aim
And all you gotta do girl is Let me hold you
Let me hold you... Kaimba na Omarion.
Sidhani kama upo sahihi mkuuMarekani acting inalipa kuliko muziki. Labda kaona aende kwenye mingle zaidi.
Sidhani kama upo sahihi mkuu
Wote wanatengeneza pesa nzuri sana
Ila ukichukua wanamuziki wenye mafanikio ya juu kabisa ukalinganisha na waigizaji wenye mafanikio ya juu kabisa, basi wanamuziki wata waacha mbali sana waigizaji
Kuanzia utajiri wa jumla hadi kipato cha jumla kwa mwaka
Kuanzia malipo kwa waigizaji kwa film vs mapato ya album
Chungulia FobesKwanza watu hawanunui albamu siku hizi. Wengi wana downliad muziki online au kununua single.
Wanamuziki wanapata hela kwa concert zaidi ya kuuza albamu.
Pili, toa statistics tujuzane habari kwa fact, si kwa hadithi tu.
Ukiangalia wanamuziki wanaoingia kwenye movies (Ice T, Ice Cube, LL Cool J, Will Smith etc) ni wengi sana na ukiangalia actors wanaoingia kwenye muziki ni kama hakuna kabisa.
Kwa nini?
Yani hao wote waache muziki wenye hela zaidi waende kwenye ku act kwenye hela ndogo?
Ukishaanza kuandika "Fobes" wakati unamaanisha "Forbes" nashindwa hata kupata moyo wa kuendelea kujadiliana nawe.Chungulia Fobes
Utaona kati ya musician na actor/actresses wapi wako wengi kwenye idara mbali mbali kama networth, most paid nk
Kuondoka kwenye muziki kwenda kuigiza kuna ssbabu nyingi,
Moja wapo ni kwamba kuigiza ni rahisi zaidi kuliko kuimba
Anyone can act but not everyone can sing
Kama hicho huwa ni kigezo cha mtu kujadiliana na wewe basi ni haki yako kuvunjika moyo mkuuUkishaanza kuandika "Fobes" wakati unamaanisha "Forbes" nashindwa hata kupata moyo wa kuendelea kujadiliana nawe.
Mtu anayejadili kitu ambacho hata herufi zake zinamshinda huwa ananifanya nitake kutapika.Kama hicho huwa ni kigezo cha mtu kujadiliana na wewe basi ni haki yako kuvunjika moyo mkuu
Nimekuelewa mkuuMtu anayejadili kitu ambacho hata herufi zake zinamshinda huwa ananifanya nitake kutapika.
Sasa kama hujui herufi za Forbes, nitajuaje unajua kusoma kilichoandikwa humo?
Mtu anayejadili kitu ambacho hata herufi zake zinamshinda huwa ananifanya nitake kutapika.
Sasa kama hujui herufi za Forbes, nitajuaje unajua kusoma kilichoandikwa humo?
Nimekuelewa mkuu
Mjadala umeisha