Ligi Kuu Vodacom: Simba Vs Mbeya City

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
18,783
66,962
Super Sunday. Ni Mnyama Vs Wagonga nyundo wa Mbeya pale Uwanja wa Taifa, Simba S.C inashuka dimbani kusaka ushindi ili kupanda Kileleni mwa Msimamo baada ya jana Vibonde wawili kutoa suluhu ya 2-2.

Simba itaongozwa na straika wake hatari Kiiza Diego Huku Mbeya City ikiwa na mafundi kama Haruna Moshi Boban, Juma Kaseja na Ramadhani Chombo Redondo.

Tukutane hapa kwanzia saa 10:00 jioni kujuzana yanayojiri...

=============================================
Full Time
Simba 2-0 Mbeya City
HAJIBU-NA-NYOSSO1.jpg
 
Super Sunday. Ni Mnyama Vs Wagonga nyundo wa Mbeya pale Uwanja wa Taifa, Simba S.C inashuka dimbani kusaka ushindi ili kupanda Kileleni mwa Msimamo baada ya jana Vibonde wawili kutoa suluhu ya 2-2.

Simba itaongozwa na straika wake hatari Kiiza Diego Huku Mbeya City ikiwa na mafundi kama Haruna Moshi Boban, Juma Kaseja na Ramadhani Chombo Redondo.

Tukutane hapa kwanzia saa 10:00 jioni kujuzana yanayojiri...
HAJIBU-NA-NYOSSO1.jpg

Kwa Hali Ya Hewa Ya Mvua Ya Leo Simba Sports Club TUSIPOSHINDA Mechi Naachana Rasmi Na CCM Yangu Na Nahamia SAU.
 
Back
Top Bottom