Ligi Kuu Bara Oktoba 16 2016: Yanga SC 0, Azam FC 0

Team kama team nasikia haingizi faida hata kidogo. Inaendeshwa kwa hasara na haina mafanikio makubwa. Na hil litafanya team zibak Simba na Yanga tu tanzania. Kwel nawaambia. Mashabiki wa simba na yanga ndiyo wengi hapa nchini
 
Matatizo ya Azam ni haya
1. Kubadilibadili benchi la ufundi! Kulikua na sababu gani kumtoa Stewart Hall?

2. Usajili waliofanya hawakuwa makini mfano sioni mchezaji aliyesajiliwa kama mbadala wa Kipre tchetche?

3. Majeruhi - Pasckal wawa na kapombe ni mhimili mkubwa mno kwenye safu ya ulinzi tangu ligi ianze wao na wengine ni majeruhi

4. Posho wachezaji wanalalamikia posho ambazo zimefutwa

5. Mfumo anaotumia muhispania huyu ni mgumu kueleweka na wachezaji hata lugha ni ngumu pia

Kwa maoni yangu haya ndio yanayowasumbua Azam
tatizo KUBWA LA AZAM NI KWAMBA INPUT NI KUBWA KULIKO OUTPUT
 
Eeehee Azam FC 2 vyura FC krooh krooh krooh pale Kaunda 1...piga mbwaa hao kama kwa Simba mrembo walicheza CHANETA leo hawawezi...Mpira ndo unaanza waiter lete Safari
 
Naomba mwenye link ya mechi yanga vs. azam niangalie online
 
KADI Dk 24, Morris analambwa kadi ya njano baada ya kwenda kumuangusha Chirwa
Dk 23, Mudathir anapiga shuti kali kabisa la mpira wa adhabu, Dida anaokoa vizuri na kuwa kona ya kwanza ya Azam FC
Dk 16, mpira wa adhabu wa Juma Abdul, kichwa safi cha Chirwa lakini Aishi anaonyesha anaweza na kudaka vizuri kabisa
 
Hii mimode ya JF inakimbiliaga kuleta Live Streaming za Mikutano ya Vyama vya Upinzani ila Live Streaming ya Football na Mechi kali kama hii inawashinda

KADI Dk 24, Morris analambwa kadi ya njano baada ya kwenda kumuangusha Chirwa
Dk 23, Mudathir anapiga shuti kali kabisa la mpira wa adhabu, Dida anaokoa vizuri na kuwa kona ya kwanza ya Azam FC
Dk 16, mpira wa adhabu wa Juma Abdul, kichwa safi cha Chirwa lakini Aishi anaonyesha anaweza na kudaka vizuri kabisa
 
Mkuu umecheki jana mesiah the Unstoppable King Messi alichokifanya baada ya kuingia kama sub
1476624939987.jpg
mkuu nimecheki hapo ni baada ya kuingia akatupia goli

kiukweli MESSI wampe tuzo yani alipoingia mashambulizi yakawa mfululizo ila moyo wangu umejaa huruma na ninayemuonea huruma si mwingine ila ni PEP huyu ana bahati mbaya na MESSI na safari hii atakula kipigo cha mbwamwizi
 
Dk 36 hadi 40, hakuna shambulizi hata moja na mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja
Dk 34, Morris anafanya kazi ya ziada kukoa mpira mbele ya Chirwa na kuwa kona,inapigwa lakini haina faida
Dk 32, Ya Thomas anaingia vizuri tena na Yanga wanaokoa na kuwa kona, inachongwa na Mudathir, Yanga wanaokoa
Dk 29, krosi ya Ya Thomas inazuiwa na kuwa kona upande wa Yanga, Azam wanaichonga lakini haina makali, Yondania anaondosha
SUB Dk 27, Mbuyu Twite anaingia kuchukua nafasi ya Juma Abdul aliyeumia
 
Back
Top Bottom