Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,923
Wewe ndo mpuuzi na hujui uchambuzi, halafu cha ajabu unajidhani wewe ndo mchambuziUnajua maana ya pongezi na labda inavyotakiwa kutolewa kwa kumaanisha? Yanga ingepongezwa kama unavyotaka endapo basi hata mechi zake kadhaa tu za michuano hii ya Shirikisho ingeshinda angalau mechi moja au mbili au ivuke lakini kusema kuwa eti Yanga inatakiwa tuipongeze kwa hatua iliyofikia labda " wapuuzi " wasiojua mpira watakuunga mkono ila kwa " wachambuzi " tuliobobea hapo tunasema " work done zero ". Na Watu wa aina yako ndiyo mnayoiponza Yanga kwa kuipa sifa ambazo kimsingi hawana na matokeo yake wakienda nje tu ya Tanzania " wanachezea " tu vipondo. Jifunze sana kufanya analysis hasa ya mpira. Mimi ni Simba damu nadhani hakuna asiyenijua humu ila napenda kuzungumza mpira na siyo ushabiki. Muda wowote nitakuja na analysis yangu ya kuihusu Timu yangu ya Simba ambayo ukiisoma utajifunza vitu vingi. Yanga bado wana safari ndefu mno ila Simba tuna mtihani mgumu sana wa kufanikiwa kimpira lakini Azam naona wanachezea tu Shilingi chooni ambayo siku ikitumbukia watakuja kujuta.
Ile inaitwa robo fainali sasa kama humpongezi mtu alo fika robo fainali kwenye shindano lolote hilo ni jambo la ajabu na najua lina weza fanywa na mtu kama wewe tuu
Sijakataa kuwa kimpira Yanga iko nyuma, ila nakupinga kuwa hatuhitaji kuwa sifia Yanga kwa kufika robo fainali wakati CAF wenyewe wanawapa kitita cha mamilioni wakijua mtu huyu kafika mbali na ana hitaji thamani flan hvi kubwa