RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Nimesikiliza Dr Mvungi akiongea na BBC hadi unafurahi. Ansema lazima "pachimbike kwanza"
Hiki ndicho tumekizungumza sana jamvini kwamba wanaharakati wachukue nafasi yao kwenye hili na inshallah mwenye enzi atatujalia watanzania kuzuia tusiibiwe mchana kweupe.
At least tusichinjwe kama kuku kwa kisasa maana hata hawapigi kelele.
Hiki ndicho tumekizungumza sana jamvini kwamba wanaharakati wachukue nafasi yao kwenye hili na inshallah mwenye enzi atatujalia watanzania kuzuia tusiibiwe mchana kweupe.
At least tusichinjwe kama kuku kwa kisasa maana hata hawapigi kelele.