I dig that you dig the idea of it being you. teh teh
Mods tafwadhalini sana msihamishe huu uzi kule kwenye jukwaa la ngono. Wengine hatuna aksesi huko.
watu wakubwa mnaleta mambo ya kikubwa hadharani!!!
Moderator uko busy au hupo humu?
hapo unaninunulia tu case kwa babu teh teh.
hehehe mbona unataka kupandisha bei ya mapapai bana
Huu uzi unaelekea wapi wadau??
I am following. Kama kuna EXPLICIT SEXUAL CONTENT please report the post and I will remove it. Kwa sasa nadhani sana sana inaweza hamishwa chit chat (if there is no topic debated by all participants).
Mbele.
Sisi tupo tu, ila naona kitumbua kimeingia mchanga.heheeh na akiuliza unatoka wapi nazani jibu sahihi itakuwa "nyuma" si ndio my belavd erotica?
kwa sasa uzi upo katikati.
enhee tuendeleeni na mada wadau, kina kongosho, mwali , ze boss, bwanchuchu nakazalika
mmh mbona kama mshari vile. kumuita mwenzio mtoto una mana gani?
Mwali niko....nikufate wapi
Hata kama uko kigoma nitakuja kwa ajili yako
Mwali niko....nikufate wapi
Hata kama uko kigoma nitakuja kwa ajili yako