Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,321
- 33,126
Mkuu@King'asti kumbe wewe ni mtu mzima mwenzangu? hujambo lakini? mbona Avatar yako ya kijeshi umeitowa? Nime i miss sana ninakuomba uirudishe avatar yako......Hebu ntake radhi baba! Mi nimezaliwa na kuanza shule wakati mwl j k nyerere ni president wa tz! Ila mdingi alienda shule abroad, nadhani akaja na poti ( si unajua wakati ule tv na magari ilikuwa ni soo, mwalimu hakuruhusu)