Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Wizara zinazotesa wananchi sana zinahusiana na historia ya Elimu ya Secondary na Shule ya msingi. Sasa Professor anataka kuuza Bandari hebu mwenye taarifa zake alete hapa. Ili next time tuchague viongozi sahihi kwa kuangalia elimu ya primary na secondary.
JANUARY MKAMBA
Alisoma kama Private Candidates pale EKENFORD Secondary. Iliyokuwa Inasifika kuiba mitihani. (QT)
NAPE NAUYE
Historia yake ni ya kuungaunga Kwanzia certificate au Diploma mdogo mdogo mpaka Chuo kikuu India.
DR. Mwigulu Nchemba
Mwigulu kutumia majina ambayo si yake olevel huko akajikongoja Enzi zile ya Waziri Kapuya wakati paper zinaibiwa sana. Akapiga mpaka Ilibolu kasusua kidogo bachelor. Masters akapasua. Matokeo yake kama wave yanapanda na kushuka.
JANUARY MKAMBA
Alisoma kama Private Candidates pale EKENFORD Secondary. Iliyokuwa Inasifika kuiba mitihani. (QT)
NAPE NAUYE
Historia yake ni ya kuungaunga Kwanzia certificate au Diploma mdogo mdogo mpaka Chuo kikuu India.
DR. Mwigulu Nchemba
Mwigulu kutumia majina ambayo si yake olevel huko akajikongoja Enzi zile ya Waziri Kapuya wakati paper zinaibiwa sana. Akapiga mpaka Ilibolu kasusua kidogo bachelor. Masters akapasua. Matokeo yake kama wave yanapanda na kushuka.