Mbona Yanga Mnaandika Sana Mpaka Mnajitoa Akili ID Mpya Mara Horoya FCUshindi wa jana unawalevya makolo wengi wanajikuta wanaandika utumbo mwingi humu jukwaani. Nashauri mods waweke limits hawa mbogo maji wamelewa na uhakika baada ya siku mbili wakirudi kusoma wanacho andika watakimbia jukwaa la michezo wiki nzima
Kuna sehemu za kuwa mzalendo sio kwa utpoloTuwe wazalendo...
Mafanikio ya Simba au Yanga kimataifa husomeka kama mafanikio ya timu na pia ya taifa...
Ndio maana utaona kufanikiwa kwa ti.u moja, kunazibeba na nyinginezo kiasi cha taifa kupewa nafasi zaidi za upendeleo...
Kuna sehemu za kuwa mzalendo sio kwa utpolo
Wa Tunisia Leo watatusamehe , Hakuna namna wasizitoe point tatu, Ni swala la muda tu.
Kwa Sasa tupo vizuri sana.
nimecheka kwa sauti kubwaaa.Zumaridi: Nilipokuwa mbinguni niliwaona utopolo wakipewa Hamsa na Us Monastir..
Kuwa mzalendo,unaenda kuzibika wewe🤔Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max
Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali
Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka
Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi
Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!
View attachment 2557516
Naangalia marudio ya mechi ya simba na horoya jana, aisee wasipokuwa makini wanapigwa tena 7,, mpaka muda huu washakula 3, mpira ni half time
Kututakia kheri na matusi,juu hapo sijui umepata baraka au laana🤔Japo Yanga Ni Snitch Ila Leo Tunawaombea Walete Ushindi Wa Kishindo
Waache Ubabaifu Maana Timu Yao Yenyewe Ni Kama Genge La Wahuni Wachache
Serikali Jana Imepata Burdani Boll Itembee, Pira Samba Loketo, Pira BirianiKututakia kheri na matusi,juu hapo sijui umepata baraka au laana🤔