PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,242
- 30,352
Serikali wangepiga marufuku bodaboda zisiingie katikati mwa mji hii itasaidia sanaKuna matukio hua wanafanya barabarani hadi unijuliza kwa nini serikali isipige marufuku usafiri wa bodaboda, lakini unakumbuka kwamba ujambazi utaongezeka una baki kusonya tuu, ndio maana Lema alisema bodaboda sio kazi ni laana