MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Aksante Babu nawe pia...................mie alishanidisown zamani hadi akanibatiza jina la Mtukutu sasa nimeadaptiwa na Babu mwengine mwenye huruma kanipendezesha na kuninawirisha yeye anaanza kuleta za kuleta.................... mie wa kambo siku hizi. LolMjukuu naomba tu nikutakie Valentino njema bana ingawa babu leo kawa mkali kwa wajukuu wake!!