ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 149
- 129
Wali nyama ya kuku wa kienyeji alierostiwa. Nahitaji pia nyama ya Mbuzi aliochomwa, ndizi za kisamunyu za kupikwa. Maziwa fresh, na pia maharage yasikosekane.
Anaeweza andaa na kuhakikisha chakula kinakua kitamu anaweza fanya hivo. Idadi ya watu watakao kula chakula hiki ni watu 10. Naomba anaeweza aandae viungo na mahitaji yake aniambie humu humu nimpatie cash.
Anaeweza andaa na kuhakikisha chakula kinakua kitamu anaweza fanya hivo. Idadi ya watu watakao kula chakula hiki ni watu 10. Naomba anaeweza aandae viungo na mahitaji yake aniambie humu humu nimpatie cash.