Naomba unitumie ngoja nikupe whatsap yangu. usisahau Haleluya kuu
Aliemacho anipe company ntamgawia masongi ya xmass...nshayashusha kama 30 hadi sasa
Msijali kwa mlio mbali ntaziweka kwenye mp3 niwape ofa ya kuwatumia kwa njia ya bus...ila kwa walio near Iringa tuwasiliane niwapatie
Nimeipata ngoja ntakutumia baadae,ila ni nyingi maana bado naendelea kuzishusha kama upo jirani na Iringa naweza kukuwekea kwenye cd nikutumie
poa mkuu,kama upo whatsap ni pm no.yako ntakurushia