Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,207
- 5,990
- Thread starter
- #261
Sawa MkuuSafi sana,nitawalinda vizuri tu,na Malipo utafanya siku yoyote ile ukirudi na utakagua mizigo yako Kama yote iko salama ndiyo unafanya Malipo!!
Sawa MkuuSafi sana,nitawalinda vizuri tu,na Malipo utafanya siku yoyote ile ukirudi na utakagua mizigo yako Kama yote iko salama ndiyo unafanya Malipo!!
Inategemea, niliyofanya mimi nimetumia kingereza.Interview ni kwa kiswahili au kiingereza? Ukiona umeshindwa jifanye maruhani yamepanda
Me ni mtu wa amani mkuu.Nenda umevaa Kiarab na mabomu mwilini utapata visa fasta tu
Canada huko nasikia rahisi na mimi nitabeba na uraia kabisa maana hapa bongo maneno sana ngoja nilime viazi kwa sasaBarikiwa sana nilikuwa na imani utapata Maana Mungu yupo pamoja na wewe karibu siku moja moja Canada.
Duh mbona wapo watu wengi tu walikuwa USA na sasa hivi wame-settle Tz? Ngoja niwaangalie vizuri labda wamelogwa!Hakuna aliyefika hapa akawaza kurudi tena home labda awe kalogwa
Nashukuru Mkuu, tayari nimepataMimi nakuombea upate visa nina vijana wapo njema sana huku kwenye utalii kupitia USA...
Kuna mtu amepata Visa ya kuingia kusoma Spring Semester...amepata wiki hii, nimeshangaa, ni mapema mno.Ndo JF mkuu take it easy.
I wonder unaingia chuo fall au spring maana fall shule nyingi zinafungua this week na zingine very soon. Spring ni January wanaweza kusema unawahi sana.
Naujua mziki wao hao jamaa maana niliucheza miaka hiyo mambo za rudi-go na tukatusua.
Ungesema mapema ningekushauri uende kumuona education advisor wao pale embassy hana la maana la kukwambia na sio lazima ila inakuongezea credit kwa consulars wakati wa interview. Good luck
Vyuo vingine vina foreign students wachache mno, unapata Social Security ID kirahisi.Ndugu yangu watu wasikupandishe shaka visa sio ngumu as longer as huko na proper documentation . Pili Maisha ya US sikuhizi mwanzoni yamekuwa magumu sana maana ili kupata kazi unahita ID na Social security number ID kupata raisi tu ila social security number huwa hawatoi kwa wanafunzi hadi upate kazi shuleni na kazi za shule huwa ngumu kupata sababu foreign students wote wanazigombania na walio nazo hawaachi so uwe na mtu wa kukupoke au pesa ya kutosha kukuwezesha kwa muda mrefu kidogo.
Hongera sana, unaingia State ipi?Nashukuru Mkuu, tayari nimepata
Wiki hii nimepata taarifa za Watanzania Watano waliopata visa za kuja masomoni.Hongera sana, unaingia State ipi?
Hongera sana, kila la Heri.Salamu kwenu nyote.
Awali ya yote napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha tangu naanza hizi harakati hadi leo nimefika mwisho wake na kufanikiwa.
Pili, nawashukuru wachangiaji wote hapa JF walionipa support (kwa njia ya ushauri) kuhusu jinsi gani naweza kufanikisha adhma yangu, Mungu awabariki sana (kwenu nyote mnaoamini uwepo wake na utendaji kazi wake).
Binafsi nina furaha ya pekee sana, nimefanya interview na visa yangu ime be approved, kesho saa nane kamili mchana nitakwenda kuchukua tayari kwa kuanza maandalizi ya safari hivi karibuni.
Mwisho kabisa, nawashukuruni nyote mlioniombea, mlionikejeri na kunikatisha tamaa, mmenipa nguvu kwa namna moja ama nyingine.
Nimelizie kwa kuwakaribisha nyote mlio na mlengo kama wangu, kwa ushauri namna gani mnaweza fanikiwa pia.
Wabillah tawfiq.
Me naingia Fall.Kuna mtu amepata Visa ya kuingia kusoma Spring Semester...amepata wiki hii, nimeshangaa, ni mapema mno.
Shukran sana MkuuHongera sana, kila la Heri.
Niko Marekani miaka kadhaa..sijaona niko katika utumwa wowote ule!Mrejesho wa nini hapa! Unadhani kwenda Marekani ni mbinguni! Huko unajipeleka utumwani tu! Nchi yako hii ni bora mara 1000 kuliko huko unakoomba na kusali! Utajua hilo utakapofika huko kama utafanikiwa interview yako! Utakuja kurudi huku mikono mitupu kama utakavyokwenda!
Habari njema sanaWiki hii nimepata taarifa za Watanzania Watano waliopata visa za kuja masomoni.
Achana na mawazo ya wabongo, njoo kutafuta unachokitaka, niko Marekani kama miaka 11, na sijajuta.Shukran sana Mkuu
Ahsante sana ndugu yangu,kuna watu humu wa roho za ajabu sana, anyway nimewachukulia positive tu.Achana na mawazo ya wabongo, njoo kutafuta unachokitaka, niko Marekani kama miaka 11, na sijajuta.
Nimejifunza kitu mkuu.Vyuo vingine vina foreign students wachache mno, unapata Social Security ID kirahisi.
Maliza masters tafuta kazi njoo uchukue familia yakoStudent Visa F1 ni five years, japo taarifa zako za masomo na staying during inatokana na SEVIS (1 -20), me nitafanya Master programme ya 3 years. Wanahitaji tu confirmation ya fund kutoka kwa sponsor wako kama hujapata full funded scholarship (kupitia bank statement).