masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Hii ni sala maalum ya kuombea Taifa amani, na imeombwa makanisa yote leo.
Tuombe:
Mwenyezi Mungu, Baba wa milele, ulijalie Kanisa lako ulimwenguni mwote umoja na amani.
Uliimarishe linapoteswa kwa ajili ya Jina lako;na kulijalia kuwatangazia mataifa yote Injili yalo kwakusihi.
Twaitikia:
E e Bwana , Usikie kuomba kwetu.
Tuombe:
Ulimwenguni pote , uwabariki watawalao, tukae na amani, hasa tunamwombea Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete, mawaziri na wote wenye mamlaka katika nchi hii ili watawale katika haki na kweli, twakusihi.
Twaitikia :
Ee Bwana , Usikie kuomba kwetu.
Ref: Liturgia pg 349-350.
Na momi naomba wana JF michango yenu yote iwe ya kujenga amani upendo na utulivu.
AMEN
Tuombe:
Mwenyezi Mungu, Baba wa milele, ulijalie Kanisa lako ulimwenguni mwote umoja na amani.
Uliimarishe linapoteswa kwa ajili ya Jina lako;na kulijalia kuwatangazia mataifa yote Injili yalo kwakusihi.
Twaitikia:
E e Bwana , Usikie kuomba kwetu.
Tuombe:
Ulimwenguni pote , uwabariki watawalao, tukae na amani, hasa tunamwombea Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete, mawaziri na wote wenye mamlaka katika nchi hii ili watawale katika haki na kweli, twakusihi.
Twaitikia :
Ee Bwana , Usikie kuomba kwetu.
Ref: Liturgia pg 349-350.
Na momi naomba wana JF michango yenu yote iwe ya kujenga amani upendo na utulivu.
AMEN