Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
Ndugu zangu spiritual Jews duniani kote. Leo ni kumbukumbu ya mashujaa wa Kiisrael walipowaokoa ndugu zao pale Entebe Uganda.
Kijana Jonathan Netanyahu akiwa na umri wa miaka 28 aliongoza makomandoo hatari duniani kuwaokoa ndugu zao wasiuawe na magaidi ya Kipalestina.
Shujaa huyu Jonathan Netanyahu ambaye hajapata kutokea mtu kama huyu duniani alikubali kuutoa uhai wake ili wazee, vijana na watoto wa Kiisrael waliotarajiwa kuuawa siku inayofuata ya Jumapili wakombolewe.
Mungu alibariki taifa la Israel, Israelis is our BFF! (BEST FRIEND FOREVER)
Kijana Jonathan Netanyahu akiwa na umri wa miaka 28 aliongoza makomandoo hatari duniani kuwaokoa ndugu zao wasiuawe na magaidi ya Kipalestina.
Shujaa huyu Jonathan Netanyahu ambaye hajapata kutokea mtu kama huyu duniani alikubali kuutoa uhai wake ili wazee, vijana na watoto wa Kiisrael waliotarajiwa kuuawa siku inayofuata ya Jumapili wakombolewe.
Mungu alibariki taifa la Israel, Israelis is our BFF! (BEST FRIEND FOREVER)