Leo dola moja ni sawa na 2290. Kweli uchumi unakuwa

Rate ya Leo Malipo mtandaoni

$1 = TZS ‭2,582.076923076923‬

Njia ya malipo iliyotumika | Card ya Benki
 
Hahahah mipaka iko wazi dola imepanda na bidhaa za ndani zimepanda saivi hakuna bei ya msimu wa mavuno jamaa aje na ushauri mpya
 
Ukiingi kwenye tovuti ya benki kuu na ofisi ya taifa ya takwimu, unakutana na ripoti kadha wa kadha wanazoziandaa kuhusu uchumi wa nchi. Kuna tovuti nilikuta wameandika TZS currency depreciation against US dollar ni 2.4%.

Siko mtaalamu sana wa mambo ya uchumi ila hii ratio ina maana kuwa shilingi iko imara kulinganisha na dola ya kimarekani ambapo mwanzo ratio ilikuwa 7%. Sasa turudi kwenye uhalisia, shilingi dhidi ya dola ya kimarekani inaimarika au inazidi kuzorota???

K' Matata.
Ukitaka kujua kwa urahisi kama shilingi ya bongo dhidi ya $$ ya Marekani kama imepanda au kushuka, angalia shilingi ngapi zinanunua $ moja! Mfano kama unanunua hela za Tanzania nyingi kupata $ moja maana yake sarafu ya Tanzania imepoteza thamani ndio maana unatumia hela nyingi kununua $ moja!! Unapotumia shilingi chache kununua $ moja maana yake shilingi thamani yake imeimalika!!
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Malipo kupitia PayPal | Muda huu

$1 = TZS. ‭2,612.45110821382‬
-
1694218699461.png
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Katika mambo yanayokera,kutia hasira na kutia kinyaa ndo haya

Tanzania asilimia kubwa ya bidhaa tuna-import nje (kununua nje ya nchi) sasa hili swala la dola kupanda dhidi ya shilingi kunazidisha mfumuko wa bei hapa nchini

Hili jambo linapigiwa kelele mno lakini serikali yetu inayojidai ni sikivu hili wamelikalia kimya Bot nao kimya?

Miaka mitatu dola kupanda dhidi ya shilingi kutoka 1500 hadi leo karibia 2300 ni jambo la kutisha sana hii ni fedheha mno na inaonyesha uchumi wa nchi umedorora

Kwa hii hali mtawaweka wapi vijana wengi walojiajiri kwenye kununua bidhaa nje? (Importers)

Mtawaweka wapi wananchi kutokana na mfumuko wa bei?

Kwanini tusiruhusu free exports watu wauze nje free bila makato ili walau shilingi ipate thamani na mfumuko wa bei uondoke na wananchi wafurahie unafuu wa bidhaa kwa bei ya chini?View attachment 925952
Dolla moja itafika elfu 10,000 chini ya ccm wako busy na uchaguzi ujao wanawaza jinsi ya Kuiba kura.
 
Update kwa wafanya Miamala mTandaoni. [as of April 2nd,2024 10:30am]
  • Prepaid Card (TZS) , Visa cards - Zimezuiwa kufanya miamala mtandaoni, Nimeongea na Equity Bank customer care, ndio maelezo niliyopewa. | Wanakutaka wewe mfanya miamala mtandaoni uwe na USD account, ndio itumike kufanya miamala yako husika.
  • Tigo Virtual card - Charges zao ni 5% ya Malipo ya USD unayofanya, Nimefanya Mazungumzo Tigo Customercare, na wamenipa huo ufafanuzi. Hivyo kufanya rate kuwa kubwa.
Baada ya kufanya mumala wa USD kupitia Tigo Virtula card Rate kwa leo, muda hu ni 1usd = TZS. 2,939.995258416311‬
- Bado sijajua kwa Mitandao mingine (voda, Airtel) rate iko ngapi kwa sasa.
nini kifanyike?
Je nini cha kufanya.
  • Hakikisha unapata USD prepaid card ambapo utakuwa ukifaya deposit kwa rate utakayopewa benki. Angalau kidogo bado iko chini haijavuka TZS.2,900
 
Back
Top Bottom