denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Mr. familly to feed, not community to impress.Mbona Dr Mashinji aliongoza Chadema kwa mafanikio makubwa?
Uongozi ni kipaji.
Mr. familly to feed, not community to impress.Mbona Dr Mashinji aliongoza Chadema kwa mafanikio makubwa?
Uongozi ni kipaji.
FoolsAkihubiri kanisani kwake siku ya Jumapili askofu Gwajima alisema leo Jumanne ataongoza mjadala wa kidunia utakaohusu chanjo ya covid 19 kupitia mitandao ya kijamii.
Miongoni mwa washiriki ni mtengenezaji wa chanjo ya Pfizer na Watafiti wengine nguli wa Kemia na Baiolojia.
Nitawawekea hapa link panako muda muafaka.
Mungu ni mwema wakati wote!
Umechanjwa wewe Zombi?Hatuna huo muda mchafu
Jichekeshe tuWaliochanja Wanamchukia Sana Gwajima.
Hahahahaha!
Ndio maisha hayo. Amini Upande uliochagua.
Umetapeliwa nini?Ndiyo maana wazungu wanatuona manyani,yeye Gwajima anachanjo gani aliyoigundua ili waipime ubora,
Tapeli asiye mwanasayansi anafanya mahojiano na wanasayansi?
Mi ninaoHatuna huo muda mchafu
Tena manyani ya majaribio hahaha... bora Gwajima katutetea.Ndiyo maana wazungu wanatuona manyani,yeye Gwajima anachanjo gani aliyoigundua ili waipime ubora,
Tapeli asiye mwanasayansi anafanya mahojiano na wanasayansi?
Ndiyo maana wazungu wanatuona manyani,yeye Gwajima anachanjo gani aliyoigundua ili waipime ubora,
Tapeli asiye mwanasayansi anafanya mahojiano na wanasayansi?
Ikimkamata nini?Jichekeshe tu
Siku ikikukamata ndio utatia akili
Endelea na ratiba yakoMi ninao
Muulize maza akoUmechanjwa wewe Zombi?
Mpuuzi wewe unajifunza nini? nenda kachanjweHauna wewe mjinga mjinga usiependa kujifunza..wengine tunataka maarifa, nitaangalia.
Katoro hamhitaji mbege?Endelea kusambaza mbege hapo usseri!
Unaruhusiwa mkuuUsiseme hatuna sema sina
Binafsi nataka kujua haswa so lazma nifatilie tafit halis
Professor Sheikh Presiding Bishop Rashid (MP, PhD)Akihubiri kanisani kwake siku ya Jumapili askofu Gwajima alisema leo Jumanne ataongoza mjadala wa kidunia utakaohusu chanjo ya covid 19 kupitia mitandao ya kijamii.
Miongoni mwa washiriki ni mtengenezaji wa chanjo ya Pfizer na Watafiti wengine nguli wa Kemia na Baiolojia.
Nitawawekea hapa link panako muda muafaka.
Mungu ni mwema wakati wote!
Chanjo ni ile ile ila uta boost!Wakuu naomba kuuliza... Nimesikia kuna wimbi la nne linakuja na kwa wenzetu jirani nmeskia leo kwenye chombo kimoja kuwa kimeaza.
1) je kutakuwa na chanjo yake nyingine? Kama itakuwepo chanjo nyingine je tutachoma ngapi kam vnaendelea??
2)kama ni kinga hiyo moja why linakuwa wimbi la pili na la tatu....
3)je virus tofauti vinaweza kuzuiliwa kwa chanjo ya aina moja?? Maana nasikia wanasema vnapunguza nguvu za kiume hivi vya wimbi la nne. Kuna uhusiano wa upumuaji na hizi nguvu za kazi?? Mwenye uelewa..... 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼