Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Argument yako huwez kuiprove kuwa asingesalimia ningesema the same. So is not scientifical.
Kuwa Dr wa uchumi sio nafasi ya kuchaguliwa has kwa chuo kama udsm, ni nafasi zinazotokana na maarifa, juhudi na akili.
Nassari akemewe, ni masikini aliepata ------ yake sasa yanalia mbata. How shame.
Sasa wewe inaleta uDr kwenye makunywaji? TEna Mafishi mafishi? Hapo ni kelele za mngano wa glass, supu ya mkia wa ng´ombe na umbea kwa sana. Mambo ya `uganga´ Wa uchumi sijui uwakilishi wa wananchi sio mahala pake hapo.