Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,134
- 144,633
Mpaka sasa DC Mnyeti na madiwani wawili wamekanusha tuhuma mlizozielekeza kwao huku madiwani wawili wakiwatuhumu nyinyi kwa kutengeneza hizo video huku diwani mmoja akiziita hizo clip kuwa ni za kitoto.
Hivyo ili kukata mzizi wa fitina, nawashauri ikiwezekana hata kesho mtoe video ambazo awali hamkuzitoa pamoja na hiyo print out ya mazungumzo maana kejeli zimenza na zikisemwa sana bila nyinyi kuonyesha ushahidi wa ziada zitageuka kweli kwa baadhi ya watu hasa wale ambao sio wafuatiliaji wa mambo hivyo ni rahisi kudanganywa na hizi propaganda za baadhi ya wana-CCM.
Hatari ninayoina ni wanapropaganda hawa kuwageuzia nyinyi kibao kwa kujifanya wana mapenzi na CHADEMA na kuanza kuwazushia maneno kuwa mnakiweka chama pabaya licha ya wao mpaka sasa kushindwa kujibu tuhuma hizi pasipo kuacha shaka yoyote.
Kwa sasa hamna haja tena ya kumsitiri yoyote yule hata awe nani maana hii sasa ni sawa vita ambayo siku zote haina macho
Hivyo ili kukata mzizi wa fitina, nawashauri ikiwezekana hata kesho mtoe video ambazo awali hamkuzitoa pamoja na hiyo print out ya mazungumzo maana kejeli zimenza na zikisemwa sana bila nyinyi kuonyesha ushahidi wa ziada zitageuka kweli kwa baadhi ya watu hasa wale ambao sio wafuatiliaji wa mambo hivyo ni rahisi kudanganywa na hizi propaganda za baadhi ya wana-CCM.
Hatari ninayoina ni wanapropaganda hawa kuwageuzia nyinyi kibao kwa kujifanya wana mapenzi na CHADEMA na kuanza kuwazushia maneno kuwa mnakiweka chama pabaya licha ya wao mpaka sasa kushindwa kujibu tuhuma hizi pasipo kuacha shaka yoyote.
Kwa sasa hamna haja tena ya kumsitiri yoyote yule hata awe nani maana hii sasa ni sawa vita ambayo siku zote haina macho