mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Mimi ni Mzaliwa wa Arusha na ninaishi Arusha, huyo LEMA unayempigia debe huku Arusha hakuna anayetaka kumuona.
Unaumwa wewe! Unawaongelea watu wa Arusha! Kidudu mtu usiyejulikana hata kwenu!
Mimi ni Mzaliwa wa Arusha na ninaishi Arusha, huyo LEMA unayempigia debe huku Arusha hakuna anayetaka kumuona.
Mimi ni Mzaliwa wa Arusha na ninaishi Arusha, huyo LEMA unayempigia debe huku Arusha hakuna anayetaka kumuona.
Acha uongo bwana. unasemea A.town ya wapi ya buku 7......7 au?
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?
Umezaliwa arusha ama hospitali? Wacha uongo!Mimi ni Mzaliwa wa Arusha na ninaishi Arusha, huyo LEMA unayempigia debe huku Arusha hakuna anayetaka kumuona.
We kweli boya!!!!Mongela angepigwa leo!!amshukuru Lema
Humfahamu lema au unajitia uandawazimuLEMA ndio nani hata amuokoe mkuu wa wilaya?
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?
Lema Rais wa Arusha anakubalika na wana wa Atown sana Lema ni Jabari.
hizi sinema za kihindi tumeziona nyingi sana, mbona wasiende polisi kufanya maandamano, ila wameenda office ya dc, lema akiwapo. That was all pre planned. Lema asifanye watu ni mbumbu.
LEMA ndio nani hata amuokoe mkuu wa wilaya?
Halafu mkuu, asubuhi uliwekwa uzi humu ambao ulionesha kuwa wote Lema na DC walikuwa watuhumiwa mbele ya bodaboda hao. Sasa nashangaa mtuhumiwa mmoja anajifanya ni muokoaji
mwenye akili timamu lazima agundue hii ilikuwa planed na nia ni kujitafutia umaarufu usio na tija kwa taifa.
Watu wa arusha hasa vijana wataendelea kuvunja sheria maana mtetezi wao lema yupo.
Lema ana cheza michezo ya darasa la pili.
Halafu mkuu, asubuhi uliwekwa uzi humu ambao ulionesha kuwa wote Lema na DC walikuwa watuhumiwa mbele ya bodaboda hao. Sasa nashangaa mtuhumiwa mmoja anajifanya ni muokoaji
mwenye akili timamu lazima agundue hii ilikuwa planed na nia ni kujitafutia umaarufu usio na tija kwa taifa.
Watu wa arusha hasa vijana wataendelea kuvunja sheria maana mtetezi wao lema yupo.
Lema ana cheza michezo ya darasa la pili.
Huo ndo ukweli!!Lema almnusuru mkuu wa wilaya
Kichwa vuru vuru wasaliti hawajitambuiYani huyu unaweza kukuta aliwambia waje wakusanyike pale na wafanye vurugu,alaf yeye aonekane amemuokoa na kijitafutia umaarufu wa kijinga.
Jiji la arusha alitopata maendeleo mpaka lema akiondoka,watu watashindwa kufanya maendeleo maana watafunga kila leo shughuli zao kwaajili ya vurugu za lema na vijana wake.
Lema asilete siasa kwenye maisha ya watu. Au anafurahi watu wanapopatwa na ulemavu na vifo kutokana na uendeshaji wa hovyo wa waendesha bodaboda?
Nani kasema kuwa Lema ndo Polisi???? Lema kawatuliza waendesha pikipiki!Kwa hiyo Lema ndo polisi?