hawana maana, africa hasa sudan, manzese, somalia na vingunguti huko kuna watu wanaishi maisha ya msituni bila kujua kama kesho watakula nini wenyewe wanatapanya pesa namna hiyo? watakuja kumbana na kichapo siku ya hukumu...nilikuwa na njaa hamkunilisha,,,nilikuwa uchi hamkunivisha,...kadiri mlivyowatendea walio wadogo ndivyo mlivyonitendea mimi. kiburi cha mwanadamu ni kidogo sana, uzima, akiugua tu huyuhuyu yuko tayari hata kuuza jumba lote hilo asave life...hahaha...jiwekeeni hazina zenu mbinguni kusiko haribika kitu, nondo na kutu hawali wala hawaharibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.