Le Mutuz: Leo Uchaguzi So Need Your Prayers!!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!
 
Kila la kheri.Lakini yule Kichaa Kibajaji anawatia aibu watu wote wa Mtera.CHADEMA FOR LIFE
 
Sina imani na wewe siku izi pedezhee...hata hapo utachemsha tu.NENDA FM ACADEMIA UWE PRESDAA WAO.
 
umehangaika weee!all way from new York tulifikiri unakuja na ma idea kibao ya kumkomboa mtanzania,kumbe weeee hamna kitu kweli mbongo ni mbongo ndio maana wakenya wanatuita chips mayai,,,,mkuu utapata ma prayer kibao,never mind bror,
 
Mkuu nieleweshe kwamba kati ya hizo nafasi unazo gombea sasa na ile ya UBUNGE WA EAC ni ipi nafasi kubwa, make isije kuwa ni kama Mtu anashindwa URAISI ANAKIMBILIA UBUNGE UNAKUWA UNAJISHUSHA, OK ALL THE BEST MKUU WEWE PAMBANA TU, MAKE NAKUAMINIA HUKATI TAMAA,

NAKUFANANISHA NA Thomas Alva Edison MVUMBUZI WA BALUB HAKUKATA TAMAA KABISA,
 
Familia nzima haiwezi kuwa ya wanasiana mkuu. Jaribu kutoka kivingine. Na ni aibu kupigania kuingia katika chama kinachoelekea kufa.
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!

mbagala wenzako majina yamepitishwa na wilaya, yakaondolewa na kata (source wapo redio).

prepare for the worst kama hujatoa kitu kidogo (kwa kuwa nayo ni sera yenu).
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!


Umesahau kuandika ha! ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!

kila la kheri BIG SHOW
 
Le Mutuz bana hujakata tamaa tu siasa sio fani yako anyway mafanikio mema
 
sio na wewe LE mutuz upate uongozi uwe Kama wao! Aisee tutakupopoa mawe! Ukipata uongozi Kama watakupa sababu CCM hawataki critical thinkers wanataka watu ka KINA Lusinde ufanyie kazi Yale uliyojifunza JF all the best....
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!
Mkuu. mbona unahangaika kama kuku anayetaka kutaga, tatizo ni nini hasa? Kwani kama baba (Malecela) na mama (kilango) ni wanasiasa, lazima na mtoto uwe mwanasiasa?? Vipi kibarua cha kubeba mabox USA kimeota majani? Mimi nakuona kama una kitu kama uroho wa madaraka, na hii inaweza ikakufanya usiwe kiongozi mzuri hata kama utachaguliwa.
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!

so what?
 
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!

- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!

LE BAHARIA BIIG SHOOW!!

Sasa Mkuu naona unaelekea kucheza mechi za mchangani wewe!

Juzi wenzio wamekuchinjia baharini bado umo tuuuu?! Pole Weye!!

Toa kitu kidogo mkuu ndo sera ya chama letu bila hivyo na leo unatoka bila bila!!
 
Ninakutakia mafanikio lakini si kwa kupitia prayers, sala hazihitajiki katika jambo hili. Fanya kapeni, waoneshe uwezo unaolingana nao (ni sehemu ambapo werevu hawapendwi), na kama una rushwa - toa!! Usipokuwa na rushwa, this is another merry-go-round (Bunge la Afrika Mashariki).Ukikosa uwakilishi kwa ngazi hii, shuka mpaka ngazi ya kijiji au mtaa. Siasa ni ngumu wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom