I was born on late October!!!!!! I am a scorpion girl!
Yani upo sawa kabisa scorpion ndivyo tulivyo mwaya hujakosea ningekua nakuona lara ningekupa mkono sisi ni wavumilivu mno ila siku yakituchosha pana chimbika bila jembe mm ni nov
hahaaaaaahaaaa, wacha bana, ndo unaendeleza maneno kama ulivyosema.... Haya weka lingine, maana la kwanza ni NO BODY, enhee la pili je ...jee??Hahahaaaaaaaaaaaaaa! WE WAZA UWAZAVYO HUNIONGEZEI KITU WALA HUPUNGUZI KITU MAISHANI MWANGU! YAANI KIFUPI YOU ARE A NOBODY!!!!!!! Upo hapo!
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume bweg- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.
kwa maneno yake ya Jf mkuu.Hata kama in real life hayupo hivyo ila tayari tumeweza kugundua aina ya wanawake wa sampuli yake na ndio msingi wa mada sio personal attack.Ulishawahi kuishi naye au kwa maneno ya JF?
Misimamo ya mwanamke JF sio ndio mtindo wake wa maisha huko alikoolewa.
Hahahaaaaaa! Mi sio mkorofi ila sio mnyonge au nyonde nyonde!!!!!!!!! Tunaenda kwa haki na usawa tukiongozwa na Logic na grounds za msingi!!!!!!!
Ukinifanyia upuuzi you will see my true colours! My strength is in War na my weakness is in Peace!!!!!!!!! Ukinifanyia wema uliopitiliza unanikosehsa amani sanaaa, nakuwa najistukia sana, najiona mdogooo!
Hahahahaaaaaaa! Kwanza yakupasa kufahamu kuwa Sex is not an obligation hata robo!!!! Sex is a recreational activity upo hapo? So kwa kulala na mwanaume you are not DOING HIM A FAVOUR au nini! Its just tu kwamba you are enjoying together baaaaaasss!!!!! SO NENO SAHIHI TUNAONJANA!!!!!!!!!!
Tena mimi ndo NILIWATUMIA WAO coz in the end sikusomeka!!!!! Niliwayeyusha baada ya kuwafaidi upo hapo!
Na hiyo mentality ya kuwa Sex ni kumzidi akili mwanamke futa kabisaa! Mimi nikilala na mtu sio kuwa kanizidi akili! Nooo its just nimejisikia tu! Isitoshe huondoki nayo! Its not a privillage au honour its just sex!!!!!!!!! Ila ukinioa kweli umenizidi akili sanaaaaaa!
Nilitaka kufahamu tu, kwa sababu mimi najua wewe bado ni bikra kama ulivyosema hapo awali. Au kuna masahibu yalikukumba hapo katikati? Nipe updates maana memory yangu huwa haifuti unless ni-replace na updates.
I guess 29th, just like someone here. right?
I was born on late October!!!!!! I am a scorpion girl!
na wananifata sio utani aisee, mpk wengine wanasema ntazeeka nikiwa single kwa misimamo ninayoisimamia mwanamke. unajua nimegundua nini kingine Lara 1 wengine wanataka kutest waone unajivunia nini na kipi kinakupa confidence, wananikomaje hapo sasaaaaaaaa!!!!!!!!!!! yani naenjoije kuwaenjoy mieee..... raha sana mdada ukijiamini na kujikubali
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume bweg- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.