Ziggydandy
New Member
- Jul 27, 2011
- 1
- 0
Daah jaman sasa hivi tulipofikia inatisha bungeni.KWANI WABUNGE WANAFANYA VITUKO KAMA WATOTO. jana wametoa taarifa za uongo na kuiga saini ya WAZIRI MKUU. Leo wamerumbana baada ya kutoelewana. SWALI KWENU WANA JF WABUNGE WA CHAMA GANI WANALETA VURUGU SANA.?¿?.