Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Lazima itasemwa kuwa wamefungwa Kwa kuwa refa Herry Sasalli huwa hawapendi.
Azam walikuwa na kila sababu ya kuifunga Yanga Leo, simlaumu wachezaji wa Yanga Wala refa.Lazima itasemwa kuwa wamefungwa Kwa kuwa refa Herry Sasalli huwa hawapendi.
Kesho hamchezi mkuu usiwe na haraka😂Sisi wananchi hatujazoea kulaumiana, huo ndio mpira ya leo yamepita tunangoja kesho
😂😂😂Hakuna muda wa kusikitika, muda uliokuwepo ni kuangalia na kujiandaa na yajayo... Sisi sio mbumbumbu fc, kolowizard
Offside ipi mtu kapigiwa pasi anatokea nyuma anakimbia😂 we jamaahatuna muda huo, japo mwenyewe wajua goli limetokana na offside ila tumekubali maana nyau bado ana point zetu 3
Mkuki Kwa nguruwe ehee! Zile za Ihefu mlipobebwa mliona ni Halali eti?Sasi hana shida ila mshika kibendera ndio katoa mpya, mtu anazidi karibu mita 4 humuoni!! Kweli soka letu kivyetuvyetu .
Gamondi Keshasema goli la pili lilikuwa Off side!!!Sisi wananchi hatujazoea kulaumiana, huo ndio mpira ya leo yamepita tunangoja kesho
Lamba glucose mkuu kubali yaisheSasi hana shida ila mshika kibendera ndio katoa mpya, mtu anazidi karibu mita 4 humuoni!! Kweli soka letu kivyetuvyetu .
Off side ya Chama majuzi hawakuiona???Lamba glucose mkuu kubali yaishe
Mbona hata kwa ihefu mpira uligonga mwamba refa akauweka katiOff side ya Chama majuzi hawakuiona???
Mkuki moyoni mamayo zenu.Hakuna muda wa kusikitika, muda uliokuwepo ni kuangalia na kujiandaa na yajayo... Sisi sio mbumbumbu fc, kolowizard