hdd 80Wapi zinapatikana?? Na bei yake!! Nahitaji >8, plz kama unafahamu nijulishe mkuu, bei yangu 200000-250000
Njooo zanzibar zipo kibao
Kwani ww ni kabila gani broo?
Kwani ww ni kabila gani broo?
Kwani ww ni kabila gani broo?
nimepata mkuu, ila next month mwishoni nitahitaji nyingine, nitakucheki mkuu.
Ok karibu this time nitakupa specs nzuri zaidi
Desktops unazo?
zipo kaka unahitaji ya specs zipi? na offer yako ni ipi
Wapi zinapatikana?? Na bei yake!! Nahitaji >8, plz kama unafahamu nijulishe mkuu, bei yangu 200000-250000